Malima Chacha
Member
- Oct 11, 2020
- 9
- 17
Kufuatia matamshi ya Spika wa bunge leo bungeni wakati akiwaapisha wabunge wateule Humphrey Polepole na Bi. Riziki, ambapo Spika amewahakikisha ubunge wabunge 19 wa viti maalum waliovuliwa uanachama wao na Chadema
Kumeibuka kundi la watanzania wakipinga suala hilo.
Binafsi ningependa kuwaambia ya kwamba kamati kuu ya chadema kuwavua uanachama peke yake bila kupeleka taarifa rasmi kwa spika haitoshi kuhalalisha kwamba tayari wamepoteza ubunge
Chadema wanapaswa kukamilisha utaratibu kwa kumpa taarifa rasmi spika juu ya maamuzi ya Kamati kuu, jambo ambalo anapaswa kufanya katibu mkuu wa chadema John Mnyika
Hii haina tofauti kabisa na ile scenario ambayo Tundu Lissu aliyekuwa mgombea wa chadema wakati wa kampeni aligomea wito wa Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) kwa madai kwamba hana taarifa rasmi zaidi ya kusikia tu
Maana kinachoonekana na kilichopo kwa sasa kwenye hili suala la wabunge hawa ni mchakato kutokamilika,
Pamoja na Wafuasi wengi wa chadema wa kudai kwamba hata taarifa rasmi ikipelekwa haitasaidia, LAKINI WATAMBUE KWAMBA WAO WANAPASWA KUTIMIZA WAJIBU WAO LIBAKI JUKUMU LA SPIKA
Tofauti na kufanya hivi basi wimbo utabaki kuwa ule ule wa Ndugai Ndugai wakati wajibu haujatimizwa.
#MChacha Franco
Kumeibuka kundi la watanzania wakipinga suala hilo.
Binafsi ningependa kuwaambia ya kwamba kamati kuu ya chadema kuwavua uanachama peke yake bila kupeleka taarifa rasmi kwa spika haitoshi kuhalalisha kwamba tayari wamepoteza ubunge
Chadema wanapaswa kukamilisha utaratibu kwa kumpa taarifa rasmi spika juu ya maamuzi ya Kamati kuu, jambo ambalo anapaswa kufanya katibu mkuu wa chadema John Mnyika
Hii haina tofauti kabisa na ile scenario ambayo Tundu Lissu aliyekuwa mgombea wa chadema wakati wa kampeni aligomea wito wa Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) kwa madai kwamba hana taarifa rasmi zaidi ya kusikia tu
Maana kinachoonekana na kilichopo kwa sasa kwenye hili suala la wabunge hawa ni mchakato kutokamilika,
Pamoja na Wafuasi wengi wa chadema wa kudai kwamba hata taarifa rasmi ikipelekwa haitasaidia, LAKINI WATAMBUE KWAMBA WAO WANAPASWA KUTIMIZA WAJIBU WAO LIBAKI JUKUMU LA SPIKA
Tofauti na kufanya hivi basi wimbo utabaki kuwa ule ule wa Ndugai Ndugai wakati wajibu haujatimizwa.
#MChacha Franco