Jakamageta
Senior Member
- Jul 3, 2018
- 168
- 255
Speaker wetu is a very disgrace to this National Assembly and this poor country ruled by dictator
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo taarifa sio kuwa zipo njiani au zimekwisha fika?Umenena ukweli mtupu. Ubunge haufutwi kupitia vyombo vya habari. Lazima iwepo taarifa rasmi ya chama kwenda Tume kisha kwa Spika
Mvunja sheria hawezi kupelekewa taarifa ya sheria aliyoivunja....
Na Chadema wamewafukuza kwa mujibu wa Katiba ya Chama chao.Umesikia wewe mbugila?Wewe ndio akili hazipo sawa. Hao kina Mdee na Bulaya walisimamishwa kwa mujibu wa kanuni za bunge.
Ujingaboss , Ndugai alipelekewa majina ya wabunge wa viti maalum walioteuliwa na CHADEMA na tume ya uchaguzi NEC.
Hizo taarifa sio kuwa zipo njiani au zimekwisha fika?
Yan yeye ndie awafate chadema nyie kwel mnataka kina alima aSasa yeye ni kiziwi asiyesikia sekeseke hii yote iliyotokea???, anashindwa hata kuwasiliana na NEC???---- nchi gani hii imekosa coordination!!!. Hawa akina Ndugai na NEC wanalao jambo katika suala zima la huo Ubunge, wameisha likoroga kwenye uchaguzi bado wanendelea kulikoroga tena.
Katika hali hii ni lazima, kwa busara tu, kuwepo na coordination kati ya NEC, Chadema na Spika, Spika ni mkuu wa Muhimili wa dola anaweza kwa wadhifa wake kuwasiliana moja kwa moja na NEC na Uongozi wa chadema kutatua sintofahamu hiyo, it is simple like that, lakini Yeye ndiye chanzo cha "tag of war" za kijinga utadhani ni mtu wa kijiweni.
Yan yeye ndie awafate chadema nyie kwel mnataka kina alima a
Waendelee kuwa wabunge ila mmeamua kupiga chenga za mwil tu
Kufuatia matamshi ya Spika wa bunge leo bungeni wakati akiwaapisha wabunge wateule Humphrey Polepole na Bi. Riziki, ambapo Spika amewahakikisha ubunge wabunge 19 wa viti maalum waliovuliwa uanachama wao na Chadema
Kumeibuka kundi la watanzania wakipinga suala hilo.
Binafsi ningependa kuwaambia ya kwamba kamati kuu ya chadema kuwavua uanachama peke yake bila kupeleka taarifa rasmi kwa spika haitoshi kuhalalisha kwamba tayari wamepoteza ubunge
Chadema wanapaswa kukamilisha utaratibu kwa kumpa taarifa rasmi spika juu ya maamuzi ya Kamati kuu, jambo ambalo anapaswa kufanya katibu mkuu wa chadema John Mnyika
Hii haina tofauti kabisa na ile scenario ambayo Tundu Lissu aliyekuwa mgombea wa chadema wakati wa kampeni aligomea wito wa Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) kwa madai kwamba hana taarifa rasmi zaidi ya kusikia tu
Maana kinachoonekana na kilichopo kwa sasa kwenye hili suala la wabunge hawa ni mchakato kutokamilika,
Pamoja na Wafuasi wengi wa chadema wa kudai kwamba hata taarifa rasmi ikipelekwa haitasaidia, LAKINI WATAMBUE KWAMBA WAO WANAPASWA KUTIMIZA WAJIBU WAO LIBAKI JUKUMU LA SPIKA
Tofauti na kufanya hivi basi wimbo utabaki kuwa ule ule wa Ndugai Ndugai wakati wajibu haujatimizwa.
#MChacha Franco
Mbugila ni wewe na wengine wote wenye kuendekeza siasa za unyanyasaji wa jinsi ya kike.Na Chadema wamewafukuza kwa mujibu wa Katiba ya Chama chao.Umesikia wewe mbugila?
Kwa jinsi walivyo na chuki ya wazi na CHADEMA, angekuwa kapeleka Mnyika (au hata Mbowe), kila kitu kingeshawekwa hadharani ili kumuumbua, na Policcm, TAKUKURUCCM wangekuwa wameshajileta.hapo ndio chadema walitakiwa kwenda NEC kuangalia hayo majina yalipelekwa na kusainiwa na kiongozi gani, kuna viongozi wamezungukana hapo kati ya mnyika na mbowe, na kupeleka majina NEC kinyemela
Hiyo taarifa wala si ngumu kuiandika na kuiwasilisha, mwenye nguvu ya kuchomoa watuhumiwa mahabusu na kuwapeleka bungeni ndo mwenye nguvu ya "kuwachomoamo" Ndugai yupo kama shati pale.Umenena ukweli mtupu. Ubunge haufutwi kupitia vyombo vya habari. Lazima iwepo taarifa rasmi ya chama kwenda Tume kisha kwa Spika
Kufuatia matamshi ya Spika wa bunge leo bungeni wakati akiwaapisha wabunge wateule Humphrey Polepole na Bi. Riziki, ambapo Spika amewahakikisha ubunge wabunge 19 wa viti maalum waliovuliwa uanachama wao na Chadema
Kumeibuka kundi la watanzania wakipinga suala hilo.
Binafsi ningependa kuwaambia ya kwamba kamati kuu ya chadema kuwavua uanachama peke yake bila kupeleka taarifa rasmi kwa spika haitoshi kuhalalisha kwamba tayari wamepoteza ubunge
Chadema wanapaswa kukamilisha utaratibu kwa kumpa taarifa rasmi spika juu ya maamuzi ya Kamati kuu, jambo ambalo anapaswa kufanya katibu mkuu wa chadema John Mnyika
Hii haina tofauti kabisa na ile scenario ambayo Tundu Lissu aliyekuwa mgombea wa chadema wakati wa kampeni aligomea wito wa Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) kwa madai kwamba hana taarifa rasmi zaidi ya kusikia tu
Maana kinachoonekana na kilichopo kwa sasa kwenye hili suala la wabunge hawa ni mchakato kutokamilika,
Pamoja na Wafuasi wengi wa chadema wa kudai kwamba hata taarifa rasmi ikipelekwa haitasaidia, LAKINI WATAMBUE KWAMBA WAO WANAPASWA KUTIMIZA WAJIBU WAO LIBAKI JUKUMU LA SPIKA
Tofauti na kufanya hivi basi wimbo utabaki kuwa ule ule wa Ndugai Ndugai wakati wajibu haujatimizwa.
#MChacha Franco
Kumbe kuna chacha hawana akili vizuri?Kufuatia matamshi ya Spika wa bunge leo bungeni wakati akiwaapisha wabunge wateule Humphrey Polepole na Bi. Riziki, ambapo Spika amewahakikisha ubunge wabunge 19 wa viti maalum waliovuliwa uanachama wao na Chadema
Kumeibuka kundi la watanzania wakipinga suala hilo.
Binafsi ningependa kuwaambia ya kwamba kamati kuu ya chadema kuwavua uanachama peke yake bila kupeleka taarifa rasmi kwa spika haitoshi kuhalalisha kwamba tayari wamepoteza ubunge
Chadema wanapaswa kukamilisha utaratibu kwa kumpa taarifa rasmi spika juu ya maamuzi ya Kamati kuu, jambo ambalo anapaswa kufanya katibu mkuu wa chadema John Mnyika
Hii haina tofauti kabisa na ile scenario ambayo Tundu Lissu aliyekuwa mgombea wa chadema wakati wa kampeni aligomea wito wa Tume ya taifa ya uchaguzi (NEC) kwa madai kwamba hana taarifa rasmi zaidi ya kusikia tu
Maana kinachoonekana na kilichopo kwa sasa kwenye hili suala la wabunge hawa ni mchakato kutokamilika,
Pamoja na Wafuasi wengi wa chadema wa kudai kwamba hata taarifa rasmi ikipelekwa haitasaidia, LAKINI WATAMBUE KWAMBA WAO WANAPASWA KUTIMIZA WAJIBU WAO LIBAKI JUKUMU LA SPIKA
Tofauti na kufanya hivi basi wimbo utabaki kuwa ule ule wa Ndugai Ndugai wakati wajibu haujatimizwa.
#MChacha Franco
Kwanza hao wabunge wamepatikana kwa taratibu zipi maana CHADEMA wanasema hawakupeleka majina?Mkuu, unaargue kama mtu layman kabisa asiyeelewa mambo. Sasa unataka speaker afanyie kazi habari za kusikia kutoka kwenye press conference? Chadema wasipopeleka barua rasmi ya taarifa maana yake ni kwamba hao wamama wataendelea kutambuliwa kuwa wabunge halali. Itakula kwa chadema!
Wanataka kuhalalisha mtoto wa nje ya ndoa.Hatuutambui huo uchaguzi na hakuna sehemu cdm wamesema wamewafuta ubunge kilichopo cdm wamefutwa uanachama