Spika Ndugai: Asiyetaka tozo ya kizalendo atupe njia mbadala ya kupata fedha

Huo ni mkakati wa ndugai na mwigulu kumuhujumu mama

Aisee mheshimiwa rais suala la tozo unahujumiwa!!!


Mama nataka nikuambia mwigulu na ndugai wanafanya kusudi na kutoa matamko mabaya kuhusu tozo kwa maksudi tu ili wakuhujumu

Mama umesahau kuwa mwigulu na ndugai ni lile genge la S?

Mama naskia hata kukamatwa kwa mbowe ni maagizo ya ndugai....mama haya yanafanyika kupitia mgongo fulani ili kukuchezea shere yaani wanakuhujumu kupitia haya

Lengo lao ni hili ushindwe mapema wamuingize mtu wao madarakani

Mama naamini huwezi kuamuru mbowe afanyiwe vile mama najua hukuamuru tozo mama shtuka mapema....mama hao mawaziri wa mwendazake uliowarithi ni hatari sana.......

Unapaswa ung'amue hili mapema......unahujumiwa kwa maksudi kwa kutumia akili kubwa ili uchukiwe na wananchi huku wao wakijua wanaucheza mchezo kukuharibia

..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…