Isike Moses
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 2,789
- 4,245
COVID19 naona wametemwa.Bado wako maabara wanatengenezwa, kazi ikikamilika utajulishwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
COVID19 naona wametemwa.Bado wako maabara wanatengenezwa, kazi ikikamilika utajulishwa.
Na Covid-19 wamo?Huwa sioni maana ya sheria kusema wenteviti wa kamati za PAC na LAAC kuongozwa na wapinzani wakati kiuhalisia wabunge wa CCM ndio wenye influence kubwa ya kumuweka huyo mpinzani wamtakae kwa kumpigia kura kwa wingi...
Itakuwa wale Covid 19...Wa upinzani wanaochuana ni kina nani?
Mhe. Halima James Mdee ndani ya kamati ya bajeti!!Itakuwa wale Covid 19...
Hiyo inafanywa ili kuombea Hela kwa beberuHuwa sioni maana ya sheria kusema wenteviti wa kamati za PAC na LAAC kuongozwa na wapinzani wakati kiuhalisia wabunge wa CCM ndio wenye influence kubwa ya kumuweka huyo mpinzani wamtakae kwa kumpigia kura kwa wingi...
Hili sio takwa la Tanzania ni nchi zote za commonwealth zinazofuata mfumo wa Westminster. Usilete siasa za ccm na chadema hapaHuwa sioni maana ya sheria kusema wenteviti wa kamati za PAC na LAAC kuongozwa na wapinzani wakati kiuhalisia wabunge wa CCM ndio wenye influence kubwa ya kumuweka huyo mpinzani wamtakae kwa kumpigia kura...