Inaelekea hiyo michezo mnaipenda sana huko chadema!Sindano imekuingia kisawasawa. Mwanaume hawezi kuwa hasidi kiasi hicho wewe. Yaani I can imagine hapo unavyobeua tindikali kwa dhiki kuu uliyonayo.
Kamsaidie Bulaya maana mzee Mdee amemwelemea huenda ukapunguza shida za maisha.
Spika wa Bunge Job Ndugai leo November 30,2020 atawaapisha Wabunge wawili walioteuliwa na Rais Magufuli, Wabunge hao ni Humphrey Polepole ambaye ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM na Riziki Said aliyekuwa Mbunge Viti Maalum katika Bunge la 11 kupitia CUF...
Inaelekea hiyo michezo mnaipenda sana huko chadema!
Lakini haishangazi maana hata yule mgombea wenu loser alisema atawapa uhuru muwe mnafanyiana faraga bila bughdha
Mtajua hamjuiNdugai amechacha mpaka mwisho. Stupid speaker!
Aisee...hizi zote ni stress za Muastedam kushindwa kwenye box la kura?Nenda bidada upinguze ratiba ya dagaa kauzu
Aisee...hizi zote ni stress za Muastedam kushindwa kwenye box la kura?
Kwani mimi nilikutuma ushabikie hilo chama lenu mfu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nmekumbuka vile vi threads vyako vya kipindi cha kampeni eti Magu anashindana na mamlaka ya mbinguni alafu nmecheka sana!
Hivi ulifikiri Mungu ni Amsterdam? Ona sasa mtu mzima unaandika utopolo kama huo.
2017, CCM ilimfukuza Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT na mbunge wa VM) kwa tuhuma zikiwepo kumuunga mkono Edward Lowassa (aliyehamia CCM wakati huo). Lakini Ndugai hakusimama kusema CCM hii ya Magufuli inawanyanyasa wanawake. Ikawasamehe wanaume na kumpa adhabu mwanamke.Spika wa Bunge Job Ndugai leo November 30,2020 atawaapisha Wabunge wawili walioteuliwa na Rais Magufuli, Wabunge hao ni Humphrey Polepole ambaye ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM na Riziki Said aliyekuwa Mbunge Viti Maalum katika Bunge la 11 kupitia CUF...
2017, CCM ilimfukuza Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT na mbunge wa VM) kwa tuhuma zikiwepo kumuunga mkono Edward Lowassa (aliyehamia CCM wakati huo). Lakini Ndugai hakusimama kusema CCM hii ya Magufuli inawanyanyasa wanawake. Ikawasamehe wanaume na kumpa adhabu mwanamke.Polepole ni akili kubwa, huna mamlaka ya kuhoji uwezo wake. Ni wapi Katiba imetamka kwamba Mbunge wa kuteuliwa na Rais ni hadi pale Wabunge waliopo Bungeni watakosa sifa anazozitaka Rais?
2017, CCM ilimfukuza Sophia Simba (akiwa mwenyekiti wa UWT na mbunge wa VM) kwa tuhuma zikiwepo kumuunga mkono Edward Lowassa (aliyehamia CCM wakati huo). Lakini Ndugai hakusimama kusema CCM hii ya Magufuli inawanyanyasa wanawake. Ikawasamehe wanaume na kumpa adhabu mwanamke.Ulitaka akuteue wewe?
Which NEC are you talking about exactly...!?!....hii hii iliyo chin ya Mr Chairman au.Of course ni kweli bado ni wabunge, taarifa lazima ziende NEC then ndio ziende kwa Spika. Zikifika kwa Speaker akatae tuone.
Mahakama za wapi muongo huu tuliouanza 2016?MKuu kwa kejeli hizi huwasaidii Chadema bali unawapoteza. Ulitakiwa, ninavyodhani, uwape maelekezo wafungue kesi ya kikatiba ama ya aina yoyote ile na inyofaa kuhoji na kupinga utekelezaji wa shughuli za bunge chini ya Mheshimiwa Spika Ndungai. Ni hayo tu!
Ndio maana nikakuambia una stress!Bidada mi sina stress hata huyo Kayafa wenu akitawala 40 years consecutively (japo hawezi toboa maana mdudu kamchakaza)
Mimi ni muumini wa mageuzi toka rohoni na wala sifanyi kwa kutegemea hayo mageuzi yaniokoe laaa!
Mwaka wa 15 huu nipo Ulaya sili vumbi wala tope la kinyesi kama wewe.., nikutajie nalipwa ngapi ktk high profile intl organization hapa? Hivi unajua nilikuja hapa as a diplomat? Haha yaani iniume Mimi Lissu kukosa urais? Are you serious?
Teh teh nimekutega kidogo tu umejaa kwenye sinia umeonesha dhahiri unyani wako ulipo.
Kwahiyo wewe unaeshabikia Chama Tawala hizo dagaa utaziacha lini?
Ndugai Fala tuSpika wa Bunge Job Ndugai leo November 30,2020 atawaapisha Wabunge wawili walioteuliwa na Rais Magufuli, Wabunge hao ni Humphrey Polepole ambaye ni Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM na Riziki Said aliyekuwa Mbunge Viti Maalum katika Bunge la 11 kupitia CUF....
It doesn't matter mkuu... ndio serikali tuliyonayo na ndivyo inavyofanya kazi. Ukweli mchungu ni kwamba Ndugai hawezi kufanyia kazi press ya Mbowe. Inakera lakini ndio ukweliWhich NEC are you talking about exactly...!?!....hii hii iliyo chin ya Mr Chairman au.
Mmembwela. Kina Mdee siyo wajinga
Cabinet ya chadema[emoji23][emoji23][emoji23]Wajinga ni kina nani?
Kwamba wakati Sophia Simba alipofukuzwa Uanachama ccm ndiyo press pekee ambayo alitakiwa kukifanyia kazi?It doesn't matter mkuu... ndio serikali tuliyonayo na ndivyo inavyofanya kazi. Ukweli mchungu ni kwamba Ndugai hawezi kufanyia kazi press ya Mbowe. Inakera lakini ndio ukweli
Ndio maana nikakuambia una stress!
Sasa haya uliyoandika hapa ndio ili iweje?...
Ahsante sana kwa hizi Kanuni.KUHUSU WABUNGE KUAPISHWA GEREJI.
Bashir Yakub, WAKILI...