Spika Ndugai awaapisha Wabunge wateule wa ACT-Wazalendo. Mbunge wa ACT asema masuala ya Tanzania yatazungumzwa Tanzania na sio nje ya nchi

Spika Ndugai awaapisha Wabunge wateule wa ACT-Wazalendo. Mbunge wa ACT asema masuala ya Tanzania yatazungumzwa Tanzania na sio nje ya nchi

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Tukio liko mubashara TBC

Karibu.

Updates;
Jumla ya wabunge wanne wa ACT wazalendo wanakula kiapo cha uaminifu mbele ya Spika Job Ndugai.

Walioapa
1. Khalifa Mohamed Issa Mbunge wa jimbo la Mtambwe
2. Khatibu Said Hajji, Mbunge wa Jimbo la Konde
3. Omari Ali Omari wa Jimbo la Wete
4. Salum Mohammed Shafii Mbunge wa Jimbo la

===
ACT-WAZALENDO: HATUTAKWENDA UJERUMANI WALA CANADA KULALAMIKIA MASUALA YA TANZANIA

Mbunge wa Jimbo la Konde kwa tiketi ya ACT-Wazalendo, Khatibu Said Hajj amesema masuala ya Tanzania yatazungumzwa Tanzania na sio nje ya nchi.

Ameyasema hayo katia hafla ya uapisho wa wabunge wanne wa Zanzibar. Ambapo pia ametoa shukrani kwa Rais Hussein Mwinyi na Maalim Seif Hamad.

Amesema maamuzi yaliyofanywa na viongozi wa Juu wa Chama cha ACT-Wazalendo yalikuwa ni kwa maslahi mapana ya wazanzibar na wale wanaokebehi mapatano yao wataona aibu kwa kebehi zao.

Amesema Maridhiano yanapaswa kuungwa mkono na kila mtanzania badala ya kudharau mapatano hayo. Na mambo ya Zanzibar ni watanzania wote, aidha wamesahau yote yaliyotokea na kusamehe.
 
Lisu ukuje huku imekula kwako hiloooooooooooooo Lionel!!!!
Umezunguka weeeee kunadi Act wazalendo ukome waaambie na wazungu wako hiii ndio Tanzania uliyokuwa ukiwadanganya kujitia unaijua ili uwalie pesa zao

Refund back their money
 
Nataka kujua hayo malidhiano waliyolidhia.Maana sababu kuu wanasema malidhiano tunataka kuya jua au sisi wananchi hatulihusiwi kuyajua.
Maana sio mara yakwanza kulidhiana matokeo yake baadae jecha kafanya yake wakasusa.
Tatizo tunavisujudia vitambi sana njaa kali..
 
Private Sector ipo saffocated, halafu ajira chache zinazotoka watoto wa vigogo wanazikwapua.
Kwa iyo sasa umekubaliana kuwa Tundu Lissu alikuwa na sera sahihi kwenye uchaguzi za kuikwamua Tanzania yetu???

Na unakubaliana na hoja kuwa magufuli amefeli kwenye uchumi??
 
Acha kudeal na Lissu aliyekuzidi kila kitu. Msome mwenzako Stroke anavyotema madini
Lisu ukuje huku imekula kwako hiloooooooooooooo Lionel!!!!
Umezunguka weeeee kunadi Act wazalendo ukome waaambie na wazungu wako hiii ndio Tanzania uliyokuwa ukiwadanganya kujitia unaijua ili uwalie pesa zao

Refund back their money
 
Lisu ukuje huku imekula kwako hiloooooooooooooo Lionel!!!!
Umezunguka weeeee kunadi Act wazalendo ukome waaambie na wazungu wako hiii ndio Tanzania uliyokuwa ukiwadanganya kujitia unaijua ili uwalie pesa zao

Refund back their money
Anatamani ila sasa afanyàje😅😅😅
 
Back
Top Bottom