YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
Change business mama ntilie wanauza kama kawaida wauza vyakula ni kama kawaida.Private Sector ipo saffocated, halafu ajira chache zinazotoka watoto wa vigogo wanazikwapua.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Change business mama ntilie wanauza kama kawaida wauza vyakula ni kama kawaida.Private Sector ipo saffocated, halafu ajira chache zinazotoka watoto wa vigogo wanazikwapua.
Vipi mkuu kesi ya ICC imefikia wapi?Hadi wewe unasema hayaaa[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We ulie tu!Bado tunaapishana tu.
wanaiponya nchiKwa iyo sasa umekubaliana kuwa Tundu Lissu alikuwa na sera sahihi kwenye uchaguzi za kuikwamua Tanzania yetu???
Na unakubaliana na hoja kuwa magufuli amefeli kwenye uchumi??
Nenda wete watakujulisha jinsi walivyofikia maridhiano..!Nataka kujua hayo malidhiano waliyolidhia.Maana sababu kuu wanasema malidhiano tunataka kuya jua au sisi wananchi hatulihusiwi kuyajua.
Maana sio mara yakwanza kulidhiana matokeo yake baadae jecha kafanya yake wakasusa.
Tatizo tunavisujudia vitambi sana njaa kali..
Kuandika tu hujui, hata ukielezwa utaelewa kweli?Nataka kujua hayo malidhiano waliyolidhia.Maana sababu kuu wanasema malidhiano tunataka kuya jua au sisi wananchi hatulihusiwi kuyajua.
Maana sio mara yakwanza kulidhiana matokeo yake baadae jecha kafanya yake wakasusa.
Tatizo tunavisujudia vitambi sana njaa kali..
Chadema mna wakati mgumu sana!gereji again
Umepatwa na masahibu gani mwaCCM mwenzangu?Ndio ajira zilizobakia hizo.
Ajira za kisiasa tu.
Sasa hivi unacomment kinyonge sana. Ngoja nikukumbushe kipindi kile ulivyokuwaKwa iyo sasa umekubaliana kuwa Tundu Lissu alikuwa na sera sahihi kwenye uchaguzi za kuikwamua Tanzania yetu???
Na unakubaliana na hoja kuwa magufuli amefeli kwenye uchumi??
Umesha ukalia tayari umeuwona utamu wake weendelea kuukalia tu..Kuandika tu hujui, hata ukielezwa utaelewa kweli?
Bwashee una wakati mgumu sana!
Usisahau ni SMZ, serkali ya MapinduziMaridhiano na CCM ni viscious circle haukatiki na mtaendelea kuonewa na CCM mpaka kizazi chenu Cha wapumbavu kifutike wenye akili wanaokuja ndio watakata huo mnyororo wa uonezi wa CCM.maridhiano yalikuwepo toka enzi za karume na kwa taarifa yenu hata mwaka 2025 mtaonewa hivyohivyo halafu mtalambishwa peremende na CCM ya ubunge wa kupewa halafu mtachanganyiwa na ndimu ya maridhiano hiyo Hali itaendelea mpaka kizazi chenu nyie wapumbavu kifutike itakapofika 2030 CCM itawapa mkon'goto Tena wa kipigo Cha mbwa Koko halafu watawaonjesha biriani la maridhiano wapuuzi nyie na the process goes on mpaka 2070+ Kama alivyotabiri polepole.
Jifunze kuandika kabla ya ku-log in humu jf.Umesha ukalia tayari umeuwona utamu wake weendelea kuukalia tu..