Spika Ndugai awaapisha Wabunge wateule wa ACT-Wazalendo. Mbunge wa ACT asema masuala ya Tanzania yatazungumzwa Tanzania na sio nje ya nchi

Spika Ndugai awaapisha Wabunge wateule wa ACT-Wazalendo. Mbunge wa ACT asema masuala ya Tanzania yatazungumzwa Tanzania na sio nje ya nchi

Private Sector ipo saffocated, halafu ajira chache zinazotoka watoto wa vigogo wanazikwapua.
Change business mama ntilie wanauza kama kawaida wauza vyakula ni kama kawaida.
 
Safi kabisa ACT WAZALENDO mmeonesha njia nafikiri ufipa napo watafungua moyo...inapendeza sana hivi ndivyo inavyotakiwa kuwa.
 
🤣🤣🤣🤣🤣🤣

Zitto ukiwa muongo na MNAFIKI ukumbuke kubakisha akiba ya maneno. Angalia sasa jinsi ULIVYOUMBUKA!
 
Maridhiano na CCM ni viscious circle haukatiki na mtaendelea kuonewa na CCM mpaka kizazi chenu Cha wapumbavu kifutike wenye akili wanaokuja ndio watakata huo mnyororo wa uonezi wa CCM.maridhiano yalikuwepo toka enzi za karume na kwa taarifa yenu hata mwaka 2025 mtaonewa hivyohivyo halafu mtalambishwa peremende na CCM ya ubunge wa kupewa halafu mtachanganyiwa na ndimu ya maridhiano hiyo Hali itaendelea mpaka kizazi chenu nyie wapumbavu kifutike itakapofika 2030 CCM itawapa mkon'goto Tena wa kipigo Cha mbwa Koko halafu watawaonjesha biriani la maridhiano wapuuzi nyie na the process goes on mpaka 2070+ Kama alivyotabiri polepole.
 
Nataka kujua hayo malidhiano waliyolidhia.Maana sababu kuu wanasema malidhiano tunataka kuya jua au sisi wananchi hatulihusiwi kuyajua.
Maana sio mara yakwanza kulidhiana matokeo yake baadae jecha kafanya yake wakasusa.
Tatizo tunavisujudia vitambi sana njaa kali..
Nenda wete watakujulisha jinsi walivyofikia maridhiano..!
 
Nataka kujua hayo malidhiano waliyolidhia.Maana sababu kuu wanasema malidhiano tunataka kuya jua au sisi wananchi hatulihusiwi kuyajua.
Maana sio mara yakwanza kulidhiana matokeo yake baadae jecha kafanya yake wakasusa.
Tatizo tunavisujudia vitambi sana njaa kali..
Kuandika tu hujui, hata ukielezwa utaelewa kweli?
 
Kwasababu tunawanasiasa wapumbavu ukimtoa Lissu na wachache baadhi Yao CCM itaendelea kuwaonea watanzania kwa kipindi kirefu Sana na pia kwasababu watanzania wengi ni wajinga watabaki maskini kwa miaka dahari.
 
Ile joint press statement kati ya Zitto na Lissu imeshasahaulika this soon?
 
Kwa iyo sasa umekubaliana kuwa Tundu Lissu alikuwa na sera sahihi kwenye uchaguzi za kuikwamua Tanzania yetu???

Na unakubaliana na hoja kuwa magufuli amefeli kwenye uchumi??
Sasa hivi unacomment kinyonge sana. Ngoja nikukumbushe kipindi kile ulivyokuwa
"Mwaka huu hatutakubali"
"Lissu ndio dawa yenu"
"Lissu sio Lowassa, mtajua hamjui mwaka huu"
"Uchaguzi huu hatumuachii Mungu"
"Huu uchaguzi ni muhimu kuliko wowote ule"
"Mwaka huu sasa basi, mtaijua nguvu ya umma"
Siku mbili Baada ya uchaguzi ukawa hivi
"Maandamano ndio dawa yenu"
"Maandamano ni nchi nzima mpaka mtoke"
"Lissu anza mazoezi ya kuapa"
"Uchaguzi ni lazima urudiwe"
Baada ya hapo ukawa hivi
"Subirini ICC"
"ICC itawamalizia mbali"
"Vikwazo vinakaribia'
" bado kidogo vikwazo vianze"

Pole sana
 
Maridhiano na CCM ni viscious circle haukatiki na mtaendelea kuonewa na CCM mpaka kizazi chenu Cha wapumbavu kifutike wenye akili wanaokuja ndio watakata huo mnyororo wa uonezi wa CCM.maridhiano yalikuwepo toka enzi za karume na kwa taarifa yenu hata mwaka 2025 mtaonewa hivyohivyo halafu mtalambishwa peremende na CCM ya ubunge wa kupewa halafu mtachanganyiwa na ndimu ya maridhiano hiyo Hali itaendelea mpaka kizazi chenu nyie wapumbavu kifutike itakapofika 2030 CCM itawapa mkon'goto Tena wa kipigo Cha mbwa Koko halafu watawaonjesha biriani la maridhiano wapuuzi nyie na the process goes on mpaka 2070+ Kama alivyotabiri polepole.
Usisahau ni SMZ, serkali ya Mapinduzi
 
Back
Top Bottom