Karungikana
JF-Expert Member
- Jan 8, 2017
- 913
- 844
Mnabwabwaja tu MATAGA hata kwa yale msiyouyajua!Uko sahihi hao walioingia bungeni ndio walipigania sana Chadema kwenye dhiki milima na mabonde watanisamehe bure wengine wakawa mahawara wa viongozi wa Chadema makao makuu lakini lakini Chadema ilipopata nguvu wakaja wapya wakawabwaga kutafuta vyuma vipya wakawaona vikongwe....
Kauli kama hiyo aliitumia Mzee mwinyi ile 2015 baada ya Chadema kumchukua mwana ccm Lowassa,ndipo Mwinyi akawaita ni ccm B katika kampeni.CCM B hiyo!
Mkuu kumbuka kwenye kuandamana mlikuwa wote tena zitto alikuwa kiti cha mbele kabsa 😂😂😂😂CCM B hiyo!
Na Halima James Mdee je, unamzungumziaje?Yajato yanafurahisha! Kwa zitto na maalim seif nilijua watakuja kuwakana wenzao tu. Hawa watu ni mandumilakuwili miaka yote.Fuatilieni historia yao na usaliti wao kote walikopita mtalijua hilo.
SUPPORT!Uzuri (na Cha kuhuzunisha papo) ni kwamba siku Uhuru wa kweli kutoka kwa mkoloni mweusi utakapopatikana wote tutaufurahia akiwemo wewe, wanao, wajukuzo na vitukuzo. Mandela alikebehiwa Sana na makaburu, walimtukana mpaka matusi ya dhihaka ya nguon lakin mzee alivumilia kwa miaka 27 na zaidi. Leo hii wote wa sauzi wanaufurahia uvumilivu wa mzee Madiba na ndivyo ilivyo kote duniani... Tudhihakini lakin tutavumilia kwa vizazi vya Sasa na vijavyo...mapambano ya demokrasia hayatakoma kamwe kamwe.
Hivi mara ya mwisho kufika Arusha ni liniLabda nchi ya Dodoma au mimi sijaelewa
Tuna jeshi la polisi linalo linda raia na mali zake.kwa nini anasema ni mahali salama sasa?
kwa nini watu wanakimbia?
Kwa nini kipindi hiki ndio wanasema Tz ni salama na sio awamu nyingine?tuna jeshi la polisi linalo linda raia na mali zake .