Spika Ndugai, Baadhi ya wanawake wakipewa cheo kazi yao inakuwa ni kufoka na kuweka watu ndani

Dodoma. Spika wa bunge, Job Ndugai amewataka wanawake wenye mamlaka kutotumia vyeo vyao vibaya.

Spika Ndugai amesema mtu akipewa mamlaka halafu akaanza kuvimba na kushurutisha kwa kuwaweka watu ndani kwani kunawaondolea sifa ya kuwa viongozi.
...elimu
 
šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚šŸ˜‚

Huyu nafikiri anakula ugoro siku hizi..

Naona unamfaa aendelee nao.

Maana naona kama kataja tabia zake.
 
Shughuli imeanza!! Hivi jiwe nae alivyokuwa akifoka na kufukuza watu...
Aaah niishie hapo siihoji jinsia.
 
Kwa mtizamo wako Job Ndugai alimaanisha/alimlenga nan??
 
Aliwalenga wote wenye tabia kama hizo alizozisema ila hakumaanisha wala kumsema Mh Rais wetu sababu yeye hana tabia hizo.
Aliyemuhukumu mbowe na kuiaminisha Dunia kuwa mbowe Ni Gaidi na ushahidi wanao wa kutosha Ni nani?

Anayepelekea kupindishwa kwa sheria katika kesi hiyo Ni nani?

Aliyetoa hongo ya madaraka baada ya kuona hyo kesi inakaribia kupigwa chini Ni nani?

Kifupi Hangaya ndiye anayelazimisha kumfunga Mbowe! Acha maCCM mtafunane , ila ukwel uko wazi kwa Kila mwenye akili!

Huyo Hangaya msimtetee, yeye ndiye anayewapa viburi wanawake wengine aliowapa mamlaka!
 
Dodoma. Spika wa bunge, Job Ndugai amewataka wanawake wenye mamlaka kutotumia vyeo vyao vibaya.

Spika Ndugai amesema mtu akipewa mamlaka halafu akaanza kuvimba na kushurutisha kwa kuwaweka watu ndani kwani kunawaondolea sifa ya kuwa viongozi.
Nyani haoni kundulešŸ˜€
 
Ndugai mwenyewe mbona anatumia mamlaka yake kutoa watu ndani ya bunge?
Asiwaseme wanawake tena atulie maana huyo amegeuka kiroporopo kila hoja lazima achangie hasa za kuwaponda wapinzani
Ndugai Spika wa kuburuzwa. Anapitisha sheria leo mwezi ujao kaisahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…