Spika Ndugai, Baadhi ya wanawake wakipewa cheo kazi yao inakuwa ni kufoka na kuweka watu ndani

Yeye Ndugai anayo akili timamu? Anatishia watu na hana adabu.
 
Chifu hangaya hatoshi 😀😁
 
Bila kuwafokea Wadanganyika hawafanyi kazi!! Huoni sasa siku hizi ukienda maofisini yamerudi mambo yale yale ya zamanii ya kulembua macho ofisini badala ya kuwahudumua wananchi; wanajua hakuna lolote litakalowafaya wawajibike!!
Katiba mpya ni muhimu sana kuliko kufokeana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…