Spika Ndugai: Bunge langu limefanya mambo makubwa sana ikiwemo kupeleka wabunge zaidi ya 70 Misri kuishangilia Taifa stars!

Spika Ndugai: Bunge langu limefanya mambo makubwa sana ikiwemo kupeleka wabunge zaidi ya 70 Misri kuishangilia Taifa stars!

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Spika wa bunge Mh Ndugai amesema bunge lake limefanya mambo mengi makubwa lakini watu hawayaoni tu au hawataki kuyasema na kusifia.

Amesema bunge analoliongoza limeweka historia ya pekee tangu bunge hilo liasisiwe ya kupeleka wabunge zaidi ya 70 Cairo nchini Misri kuishangilia timu ya taifa yaani Taifa stars.

Chanzo: Channel ten

My take; Nakumbuka hata Piere Liquid alikuwa kwenye msafara.

Maendeleo hayana vyama!
 
Kutumia Kodi za wananchi kwenda misri nayo
Ni achievement?..

Hivi kuna Mgogo mwenye akili? Sijawahi ona so far
 
Tuna safari ndefu sana
IMG-20200612-WA0054.jpeg
 
Spika wa bunge Mh Ndugai amesema bunge lake limefanya mambo mengi makubwa lakini watu hawayaoni tu au hawataki kuyasema na kusifia.

Amesema bunge analoliongoza limeweka historia ya pekee tangu bunge hilo liasisiwe ya kupeleka wabunge zaidi ya 70 Cairo nchini Misri kuishangilia timu ya taifa yaani Taifa stars.

Source: Channel ten

My take; Nakumbuka hata Piere Liquid alikuwa kwenye msafara

Maendeleo hayana vyama!
Ama kwa hakika utakumbukwa vizazi haiwezekani wabunge wang'are kumpita spika anaewasimamia miaka mitano mingine ni yako mzee baba!
 
Hawa Wagogo wana matatizo gani? Hii si sawa tu na yule aliyegombea u Bunge wa Afrika Mashariki na kusema moja ya mafanikio yake ni kufanya sherehe ya kumkaribish Dr Asha Rose Migiro New York kama Naibu Katibu Mkuu wa UN.
 
Spika wa bunge Mh Ndugai amesema bunge lake limefanya mambo mengi makubwa lakini watu hawayaoni tu au hawataki kuyasema na kusifia.

Amesema bunge analoliongoza limeweka historia ya pekee tangu bunge hilo liasisiwe ya kupeleka wabunge zaidi ya 70 Cairo nchini Misri kuishangilia timu ya taifa yaani Taifa stars.

Source: Channel ten

My take; Nakumbuka hata Piere Liquid alikuwa kwenye msafara

Maendeleo hayana vyama!
Bunge lako au Bunge la Wananchi ?
 
Hawa Wagogo wana matatizo gani? Hii si sawa tu na yule aliyegombea u Bunge wa Afrika Mashariki na kusema moja ya mafanikio yake ni kufanya sherehe ya kumkaribish Dr Asha Rose Migiro New York kama Naibu Katibu Mkuu wa UN.
Le mutuz ni mzambia!
 
Spika wa bunge Mh Ndugai amesema bunge lake limefanya mambo mengi makubwa lakini watu hawayaoni tu au hawataki kuyasema na kusifia.

Amesema bunge analoliongoza limeweka historia ya pekee tangu bunge hilo liasisiwe ya kupeleka wabunge zaidi ya 70 Cairo nchini Misri kuishangilia timu ya taifa yaani Taifa stars.

Source: Channel ten

My take; Nakumbuka hata Piere Liquid alikuwa kwenye msafara

Maendeleo hayana vyama!
Look at this fool. Hiyo nayo ni moja ya mafanikio.
Aisee kuwe na interview nzito tena michujo mitatu ili kupata mtu makin kwenye hiki cheo.
Haya mambo ya kuangalia chama ndio unakuja kuchagua spika trash kama hivi.
 
Back
Top Bottom