Muuza Kangala
JF-Expert Member
- Jul 21, 2021
- 1,242
- 4,813
Jiulize kama mkuu wa bunge na mhimili unaopaswa kujitegemea kuisimamia serikali umefanya kosa gani?
Kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 ambao unatumika kujengea madarasa na vyoo.
Wewe unasimamia Bunge na linatakiwa kuwa imara ili kuisimamia serikali.
Sio Bunge linalodharaulika kama Prof Assad alivyodai. Kwa ujumla huna kosa. Hamia CHADEA ili uikosoe CCM vizuri.
Kuhoji juu ya mkopo wa tril 1.3 ambao unatumika kujengea madarasa na vyoo.
Wewe unasimamia Bunge na linatakiwa kuwa imara ili kuisimamia serikali.
Sio Bunge linalodharaulika kama Prof Assad alivyodai. Kwa ujumla huna kosa. Hamia CHADEA ili uikosoe CCM vizuri.