Spika Ndugai kaa na Mama Makinda akufunde, hukufundika vyema

Spika Ndugai kaa na Mama Makinda akufunde, hukufundika vyema

bloggerboy

JF-Expert Member
Joined
Nov 13, 2017
Posts
568
Reaction score
1,217
huyu jamaa siku hizi kama simwelewi yupo upande upi, inaonesha wakati anakabidhiwa usipka hakupata shule ya kutosha kabisa kutoka kwa bi mkubwa Makinda.

mfano angalia hapo chini kauli 2 tofauti za JOB


Ndugai 1: Bunge tunakupongeza Rais Samia kutuletea mkopo Trillion 1.3, hii ni boost kubwa katika Maendeleo Ndugai

2: Juzi Mama amekopa tr 1.3 kwanini tusichangishane tozo tuachane na madeni makubwa haya yasiyoeleweka?

sasa unakaa unajiuliza , kwanini amekuwa anapinga kila zuri linalofanywa wakati huohuo aliyaunga mkono hapo nyuma? nataka kumfananisha na kibwetele kabisa yupo kama ndumila kuwili mbele yupo na kwa mparange ndo kwake.

huku kwetu Machame -nkwanamboo watu wenye tabia kama za bwn Job wengi tuliwahamisha vijiji na waliokaidi tuliwaondoa.
 
Ana roho mbaya Tu huyu mtu mfupi, anataka tukamuane, tuanze na wao wabunge wakatwe nusu mshahara.
Angekuwa na uchungu na pesa za wananchi asingeishi kwenye apartment alivyoenda kutibiwa India, angelala wodini.
 
Ana roho mbaya Tu huyu mtu mfupi, anataka tukamuane, tuanze na wao wabunge wakatwe nusu mshahara.
Angekuwa na uchungu na pesa za wananchi asingeishi kwenye apartment alivyoenda kutibiwa India, angelala wodini.
ushauri wako?
 
ushauri wako?
Akae Kwa kutulia amuache mama apige Kazi, Sisi walipa Kodi tumeruhusu mama akope aendeleze miradi, tutalipa.

Yeye mla Kodi ale huku akiwa kimya, asije kupaliwa.

NB. Ninayeshauri hapa nina degree.
 
Back
Top Bottom