Mozila
Senior Member
- Mar 23, 2012
- 174
- 48
Katika hili suala la Job naona alichokosea ni nadharia ya mambo ya kitaalamu (uchumi na mikopo) ambayo kama mkuu wa mhimili alipaswa apate ushauri wa wataalam kabla hajatoa maoni yake public, lakini hajakosea kupishana na Rais kwa kuwa tu wanavaa wote kijani.
Zile habari za "fikra za mkiti zidumu" ndio leo Mama amezipigilia msumari vizuri. Huko nyuma aliwahi kusema hataki wabunge kudemka wafanye kazi lkn leo amefungulia upyaaaaa watu kudemka.
Huko USA aliwahi kunukuliwa George Bush wa republican kuwa hatompigia kura Trump wa republican na haikuwa kosa wala kuitwa maadali kwa staili hii tutafika huko...
Zile habari za "fikra za mkiti zidumu" ndio leo Mama amezipigilia msumari vizuri. Huko nyuma aliwahi kusema hataki wabunge kudemka wafanye kazi lkn leo amefungulia upyaaaaa watu kudemka.
Huko USA aliwahi kunukuliwa George Bush wa republican kuwa hatompigia kura Trump wa republican na haikuwa kosa wala kuitwa maadali kwa staili hii tutafika huko...