mr mkiki
JF-Expert Member
- Sep 22, 2016
- 5,588
- 11,668
Nina maswali machache sana.
Kwanini Tulia Ackson alilidanganya Bunge na umma wa Watanzania kuwa ofisi ya Bunge haijapokea barua ya kuwafukuza Uanachama Wabunge wa Covid-19 wakati kiuhalisia waliipokea barua tangu Novemba?
Ndugai anaongelea natural justice: Alimfuta Lissu ubunge, alimpa natural justice ya kumsikiliza kwanza?
Nasema hakuna jinsia kwenye sheria na katiba.
Kwanini Tulia Ackson alilidanganya Bunge na umma wa Watanzania kuwa ofisi ya Bunge haijapokea barua ya kuwafukuza Uanachama Wabunge wa Covid-19 wakati kiuhalisia waliipokea barua tangu Novemba?
Ndugai anaongelea natural justice: Alimfuta Lissu ubunge, alimpa natural justice ya kumsikiliza kwanza?
Nasema hakuna jinsia kwenye sheria na katiba.