Spika Ndugai kumuomba Rais Magufuli ajenge Ofisi za TAKUKURU Kongwa ni sahihi?

Kwanza ieleweke kwa mtoa post ndugai sio sipika alikua sipika usipika kautoa wapi tens msimu huyu?
 
Kwanza ieleweke kwa mtoa post ndugai sio sipika alikua sipika usipika kautoa wapi tens msimu huyu?
Kwani hukumsikia Raisi akisema na akamtaja kwa jina na cheo chake kuwa ni Sipika Ndugai?
 
Nani asiye wa CCM huwa anasikiliza hayo maneno toka kwa huyo msemaji? Mimi hata kuangalia huwa siangalii maana vyombo vyote vya Habari ni kujipendekeza na kuunga mkono juhudi wahusika kutegemea uteuzi. Wanahabari wengi walitia nia ya kugombea Ubunge lakini wote wametupiliwa mbali Chama kina wenyewe wanaojua namna ya kununua ushindi. Hata wa TBCCM wametupiliwa mbali!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…