nashicha
JF-Expert Member
- May 29, 2021
- 279
- 524
Niwe mkweli kabisaa Spika wetu wa bunge kwasasa hana ubavu wala nguvu za kisiasa kutokana na kuwa na sura mbili baada ya kulifanya bunge likawa sehemu ya kupiga makofi na kumshangilia mwendazake.
Hata hii mikopo anayoilalamikia alikopa yeye na bunge lake kimya kimya na hakuweza kuhoji kutokana na aliyekuwepo kumwogopa. Sasa anajidai ana uwezo wa kumtunishia misuli Mh Rais Samia ili kumtisha.
Kwa jinsi ninavyojua na nilivyo na uhakika, wabunge hawapo na wewe Ndugai ukijisahau tu atatokea mmoja na kuleta IMPEACHMENT MOTION utaondoka kabla jogoo hajawika. Usijidanganye hata Wabunge wa CCM wana kinyongo na wewkwa jinsi ulivyowaburuza bungeni na ukalinyima bunge meno yake kisa kujikomba kwa mwendazake.
Katika historia ya bunge la Tanzania hajawahi kutokea spika mbovu na hovyo kama Ndugai; alishusha heshima na hadhi ya bunge sana hakuna kilichohojiwa hata hii mikopo hakutuambia au anataka kutuambia ndio anajua hii aliyokopa mama na kuiweka hadharaNdu
Ndugai sio tu ni spika mbovu ni spika wa Hovyo sana kwa bunge letu
Hata hii mikopo anayoilalamikia alikopa yeye na bunge lake kimya kimya na hakuweza kuhoji kutokana na aliyekuwepo kumwogopa. Sasa anajidai ana uwezo wa kumtunishia misuli Mh Rais Samia ili kumtisha.
Kwa jinsi ninavyojua na nilivyo na uhakika, wabunge hawapo na wewe Ndugai ukijisahau tu atatokea mmoja na kuleta IMPEACHMENT MOTION utaondoka kabla jogoo hajawika. Usijidanganye hata Wabunge wa CCM wana kinyongo na wewkwa jinsi ulivyowaburuza bungeni na ukalinyima bunge meno yake kisa kujikomba kwa mwendazake.
Katika historia ya bunge la Tanzania hajawahi kutokea spika mbovu na hovyo kama Ndugai; alishusha heshima na hadhi ya bunge sana hakuna kilichohojiwa hata hii mikopo hakutuambia au anataka kutuambia ndio anajua hii aliyokopa mama na kuiweka hadharaNdu
Ndugai sio tu ni spika mbovu ni spika wa Hovyo sana kwa bunge letu