Spika Ndugai kuna mradi au tenda amenyimwa ndiyo maana anamkosoa Rais Samia

Spika Ndugai kuna mradi au tenda amenyimwa ndiyo maana anamkosoa Rais Samia

nashicha

JF-Expert Member
Joined
May 29, 2021
Posts
279
Reaction score
524
Niwe mkweli kabisaa Spika wetu wa bunge kwasasa hana ubavu wala nguvu za kisiasa kutokana na kuwa na sura mbili baada ya kulifanya bunge likawa sehemu ya kupiga makofi na kumshangilia mwendazake.

Hata hii mikopo anayoilalamikia alikopa yeye na bunge lake kimya kimya na hakuweza kuhoji kutokana na aliyekuwepo kumwogopa. Sasa anajidai ana uwezo wa kumtunishia misuli Mh Rais Samia ili kumtisha.

Kwa jinsi ninavyojua na nilivyo na uhakika, wabunge hawapo na wewe Ndugai ukijisahau tu atatokea mmoja na kuleta IMPEACHMENT MOTION utaondoka kabla jogoo hajawika. Usijidanganye hata Wabunge wa CCM wana kinyongo na wewkwa jinsi ulivyowaburuza bungeni na ukalinyima bunge meno yake kisa kujikomba kwa mwendazake.

Katika historia ya bunge la Tanzania hajawahi kutokea spika mbovu na hovyo kama Ndugai; alishusha heshima na hadhi ya bunge sana hakuna kilichohojiwa hata hii mikopo hakutuambia au anataka kutuambia ndio anajua hii aliyokopa mama na kuiweka hadharaNdu

Ndugai sio tu ni spika mbovu ni spika wa Hovyo sana kwa bunge letu
 
Niwe mkweli kabisaa Spika wetu wa bunge kwasasa hana ubavu wala nguvu za kisiasa kutokana na kuwa na sura mbili baada ya kulifanya bunge likawa sehemu ya kupiga makofi na kumshangilia mwendazake.

Hata hii mikopo anayoilalamikia alikopa yeye na bunge lake kimya kimya na hakuweza kuhoji kutokana na aliyekuwepo kumwogopa. Sasa anajidai ana uwezo wa kumtunishia misuli Mh Rais Samia ili kumtisha.

Kwa jinsi ninavyojua na nilivyo na uhakika, wabunge hawapo na wewe Ndugai ukijisahau tu atatokea mmoja na kuleta IMPEACHMENT MOTION utaondoka kabla jogoo hajawika. Usijidanganye hata Wabunge wa CCM wana kinyongo na wewkwa jinsi ulivyowaburuza bungeni na ukalinyima bunge meno yake kisa kujikomba kwa mwendazake.

Katika historia ya bunge la Tanzania hajawahi kutokea spika mbovu na hovyo kama Ndugai; alishusha heshima na hadhi ya bunge sana hakuna kilichohojiwa hata hii mikopo hakutuambia au anataka kutuambia ndio anajua hii aliyokopa mama na kuiweka hadharaNdu

Ndugai sio tu ni spika mbovu ni spika wa Hovyo sana kwa bunge letu
Gari la Sukuma Gang limenasa kwenye tope baada ya kisemeo chao Polepole kupigwa pini imebidi Ndungai aje na 4WD kuja kulinasua lakini ndiyo kalizamisha kabisa. Ndungai kukubali kufanywa house boy na mwendazake ndiyo anavuna alichopanda,kwani ni yeye kwa maelekezo ya Meko ndiyo aliling'oa meno bunge likabaki kuwa genge la mazuzu tu.
 
Gari la Sukuma Gang limenasa kwenye tope baada ya kisemeo chao Polepole kupigwa pini imebidi Ndungai aje na 4WD kuja kulinasua lakini ndiyo kalizamisha kabisa. Ndungai kukubali kufanywa house boy na mwendazake ndiyo anavuna alichopanda,kwani ni yeye kwa maelekezo ya Meko ndiyo aliling'oa meno bunge likabaki kuwa genge la mazuzu tu.
Yale ya Mkaguzi wa hesabu hakuteleza alinena ukweli na wakamtoa kafara. Sasa tunarudi palepale.
Spika na mamluki wake wote ukiongezea na aliowaweka bila ubunge Covid-19 ni janga la taifa!
 
Tulikuwa tunalilia Demokrasia…imepatikana sasa tunaanza kuchonganisha Mamlaka

Spika kuwa na mawazo tofauti na Rais si dhambi wala uhaini tusiwe washamba wa demokrasia
 
Niwe mkweli kabisaa Spika wetu wa bunge kwasasa hana ubavu wala nguvu za kisiasa kutokana na kuwa na sura mbili baada ya kulifanya bunge likawa sehemu ya kupiga makofi na kumshangilia mwendazake.

Hata hii mikopo anayoilalamikia alikopa yeye na bunge lake kimya kimya na hakuweza kuhoji kutokana na aliyekuwepo kumwogopa. Sasa anajidai ana uwezo wa kumtunishia misuli Mh Rais Samia ili kumtisha.

Kwa jinsi ninavyojua na nilivyo na uhakika, wabunge hawapo na wewe Ndugai ukijisahau tu atatokea mmoja na kuleta IMPEACHMENT MOTION utaondoka kabla jogoo hajawika. Usijidanganye hata Wabunge wa CCM wana kinyongo na wewkwa jinsi ulivyowaburuza bungeni na ukalinyima bunge meno yake kisa kujikomba kwa mwendazake.

Katika historia ya bunge la Tanzania hajawahi kutokea spika mbovu na hovyo kama Ndugai; alishusha heshima na hadhi ya bunge sana hakuna kilichohojiwa hata hii mikopo hakutuambia au anataka kutuambia ndio anajua hii aliyokopa mama na kuiweka hadharaNdu

Ndugai sio tu ni spika mbovu ni spika wa Hovyo sana kwa bunge letu
Hebu tupe mfano mmoja wa mradi au tenda aliyonyimwa Spika Ndugai.
Be straight ndugu yangu kama mbele yako nigiza totoro.
 
Anajua arudi tena kutafuna kodi zetu,pili ishu ya Dodoma imekufa kibudu zile nyumba zao za kupangisha itabidi wapangishe kuku
 
Hizo story za Vijiwe vya kahawa peleka huko bro huku tupo watu wazima Tena great thinkers. Kama una ushahid wa.kamouni ya ndugai leta hoja sio utumbo ulioandika hapa
 
Tulikuwa tunalilia Demokrasia…imepatikana sasa tunaanza kuchonganisha Mamlaka

Spika kuwa na mawazo tofauti na Rais si dhambi wala uhaini tusiwe washamba wa demokrasia
Kaanzia kwa Rais Samia au kwanini hakufanya hivyo kwa mwendazake
 
Niwe mkweli kabisaa Spika wetu wa bunge kwasasa hana ubavu wala nguvu za kisiasa kutokana na kuwa na sura mbili baada ya kulifanya bunge likawa sehemu ya kupiga makofi na kumshangilia mwendazake.

Hata hii mikopo anayoilalamikia alikopa yeye na bunge lake kimya kimya na hakuweza kuhoji kutokana na aliyekuwepo kumwogopa. Sasa anajidai ana uwezo wa kumtunishia misuli Mh Rais Samia ili kumtisha.

Kwa jinsi ninavyojua na nilivyo na uhakika, wabunge hawapo na wewe Ndugai ukijisahau tu atatokea mmoja na kuleta IMPEACHMENT MOTION utaondoka kabla jogoo hajawika. Usijidanganye hata Wabunge wa CCM wana kinyongo na wewkwa jinsi ulivyowaburuza bungeni na ukalinyima bunge meno yake kisa kujikomba kwa mwendazake.

Katika historia ya bunge la Tanzania hajawahi kutokea spika mbovu na hovyo kama Ndugai; alishusha heshima na hadhi ya bunge sana hakuna kilichohojiwa hata hii mikopo hakutuambia au anataka kutuambia ndio anajua hii aliyokopa mama na kuiweka hadharaNdu

Ndugai sio tu ni spika mbovu ni spika wa Hovyo sana kwa bunge letu
Una elimu gani?
 
Awamu ya sita haijakopa tr. 70 bali ni deni la awamu ya tano ambayo huyo anayeongea hakuwahi kuthubutu kutoa kauli ya kupinga chochote au kukusoa chochote.
 
Awamu ya sita haijakopa tr. 70 bali ni deni la awamu ya tano ambayo huyo anayeongea hakuwahi kuthubutu kutoa kauli ya kupinga chochote au kukusoa chochote.
Kuna wajinga wana akili za ndugai wanazitumia hapa na wanajisifu wamesoma
 
Ndugui kaunga mkono Bandari ya Bagamoyo anaambiwa kasaliti Serikali iliyopita kigeugeu .wanachama wanaunga mkono hoja ya Bandari

Ndugai huyo huyo kazungumzia kuhusu mkopo wa Serikali hii anaonekana mbaya. Anashutiwa kuunga mkono Serikali ya Awamu 5 anamkwamisha Rais.
Majina mengi Ndugai anapewa

Ifike sehem CCM mjuwe kuna uhuru wa kutoa Maoni. Mtu anapokuwa tofauti na Rais siyo Mbaya.
CCM vigeugeu Leo wanakuunga mkono Kesho wanakushambulia
 
Huo uhuru ameupata leo kwasababu Mh samia ni Rais mbona hakuwa nao wakati wa mwendazake
 
Back
Top Bottom