Spika Ndugai kuna mradi au tenda amenyimwa ndiyo maana anamkosoa Rais Samia

Mafi kweli huyu ZuZu yaani anaithaminisha hii nchi kubwa hivi na mali zote kwa hivyo vitirion,wakati tukizidiwa tunauza kongwa tu kwa hiyo pesa na ZuZu tunawapa bure waondoke nae
 
Mafi kweli huyu ZuZu yaani anaithaminisha hii nchi kubwa hivi na mali zote kwa hivyo vitirion,wakati tukizidiwa tunauza kongwa tu kwa hiyo pesa na ZuZu tunawapa bure waondoke nae
Ndugai anafikiri hizi bukubuku alizoweka kutukomoa zitajenga miradi wakati anajikusanyia pesa ya matibabu hakumbuki ametumia zaidi ya billion kukaa India hizo ndio pesa zetu tunakatwa ili atibiwe na kukaa nje ya nchi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…