Mbowe hana pa kuchomokea kati ya vitu vinavyomtoa "credit" za kuwa mwenyekiti ni sakata la hawa wabunge walioingia bungeni bila mchakato halali bali maslahi ya watu wachache leo wanaenda mwaka wa 5 wanapata mshahara na posho hata kiinua mgongo watapata kwa kodi za wananchi ilhali hawastahili.
Je viambatanisho vilipelekwa hata baada ya Ndugai kutolewa uspika[ japo huyu nae ni mshiriki mkubwa wa hawa wabunge wasio halali kuingia hungeni maaana yeye ndio aliwaapisha]
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.