chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 16,859
- 28,112
Sasa ni wazi kabisa kwamba Ndugai ni mzigo kisiasa kwa CCM, amekuwa akiichafua CCM na viongozi wake Kila mara.
Ametumia vijana wake akina Humphrey lakini wakachemka, wengine akina Mangula na Bashiru wanaichafua CCM kichinichini.
Wanaunda kundi la warundi wa Geita wanawaita sukuma gang wakiwa na nia ovu na taifa hili ili kiu yao ya madaraka itimie
Ametumia vijana wake akina Humphrey lakini wakachemka, wengine akina Mangula na Bashiru wanaichafua CCM kichinichini.
Wanaunda kundi la warundi wa Geita wanawaita sukuma gang wakiwa na nia ovu na taifa hili ili kiu yao ya madaraka itimie