Spika Ndugai: Nimechaguliwa na watu 400,000 kuwa mbunge kwa miaka 25, mara mbili nimepita bila kupingwa, unaniita ZUZU?

Ndio maana mirembe iliwekwa Dodoma kwa ajili ya kusogeza huduma kwa Wananchi kwenye hali hizo,nasema uongo ndugu zangu!.
 
Amwache Mzee wetu Asad kwani alimanisha hilo jina kwani hakutendewa haki
 
Kwani zuzu hana haki ya kuchaguliwa au kupita bila kupingwa😜!? Afu Asad mwenyewe naye ni mazuzu walewale, sasa anakelwa nini chizi akikuita chizi, mtu timamu si atapuuzia tu!?
 
Ile pesa ya Matibabu yake tungeweza kujenga hata madarasa 200 na nchi ikafaidika.
 
Aya majina ya JUMA ni bure kabisa.

Ona hapa:-
[emoji117]Juma jux
[emoji117]Juma lokole

Kweli kabisa, ukiitwa Juma ni sawa na senge hivi.. Jina la hovyo sana na la kimaskini kabisa.

CAG Jafar Musa Assad njoo huku, umezidi kutoa maneno machafu, mzee mzima jina lenyewe feki, kumbe sio Musa ni Jafar.

Ila Prof wengine kichwani akili hakuna kabisa, kama Juma tu
 
Huyu si alikuwa anapiga fimbo kichwani wengine? Ndo maana anapita bila kupingwa maana wenye akili wakija anawapiga fimbo vichwani anataka abakili yeye na mazuzu wenzake!
 
Mwerevu mmoja katika kundi la wendawazimu elfu moja, yeye ndiye ataonekana mwendawazimu
 
Prof. Jafar ( Musa) Assad atapigwa rungu moja kwishaaa, Ndugai anapiga, mpeni tahadhari plz

Prof Jafar Musa naye zuzu kubwa sanaa kazi kuiba majina ya watu tu, alafu huyu Prof afanyiwe vetting upya. Kafoji jina kachukua jina la mtu mwingine, kumbe yeye sio Musa ni Jafar, kasema mwenyewe, hapa kuna case ya kujibu kubwaa
 
inawezekana ata anaowaongoza pia ni mazuzu labda 🤣🤣
 
Ni kweli Mtu atavuna alichopanda hivi familia ya Ndugai inajisikiaje pale anavyochukiwa na kila Mtu.
Kwa kweli Ndugai awaombe Watanzania msamaha kwani haiwezekani ukachukiwa hivi ukakaa kimya ukajiona uko salama.
Unawaachia watoto na wajukuu shida ya kunyoshewa vidole
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…