Spika Ndugai: Rais ni mmoja tu, Wakuu wa Mikoa na Wilaya acheni kujitutumua

Spika Ndugai: Rais ni mmoja tu, Wakuu wa Mikoa na Wilaya acheni kujitutumua

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
1621418788913.png

Spika Ndugai amesema wakuu wa mikoa na wilaya wana tabia ya kujifanya wao ni marais wa mikoa au wilaya, tabia ambayo siyo nzuri na haipendezi.

Ndugai amesema Rais wa nchi hii ni mmoja tu mh Samia Suluhu Hassan wakuu wa mikoa na wilaya wazingatie hilo.
 
Nimeipenda sana hii message ya Ndugai leo.. Kuna kama yule Chalamila anajionaga Rais wa Dunia kuwa tu RC ni tatizo sana yule, very narrow minded idiot kabisa yule. Alafu kuna Happy wajichunge sana.
Kwa mara ya kwanza ameongea jambo la msingi sana mkuu wa mkoa anatembea barabara nzima na kuhatarisha maisha ya watu wakati Naibu Spika anatembea vizuri tuu.
 

Spika Ndugai amesema wakuu wa mikoa na wilaya wana tabia ya kujifanya wao ni marais wa mikoa au wilaya, tabia ambayo siyo nzuri na haipendezi.

Ndugai amesema Rais wa nchi hii ni mmoja tu mh Samia Suluhu Hassan wakuu wa mikoa na wilaya wazingatie hilo.

Source: Channel ten
Tarehe za kwenda clinic India zimepitiliza,sababu kuna corona kule
 
Mhe. Ndugai umenena kiutu uzima na umeeleweka kwa wenye akili na busara.

akiboronga mkurugenzi lazima safu yote ing'olewe kuanzia RC, DC na DED wao.

kwa mwendo huu naamini fedha za walipa kodi zitaheshimiwa.

Ma RC Ma DC na Ma DED acheni kuchezea fedha za walipa kodi, simamieni miradi ya maendeleo ktk maeneo yenu, acheni uzembe, ni aibu kubwa kuambiwa kwenye ripoti ya CAG kuwa kwenye mkoa wako kuna matumizi mabaya.
Badilikeni
 
Back
Top Bottom