Tate Mkuu
JF-Expert Member
- Jan 24, 2019
- 33,092
- 96,127
Siyo vizuri kuwananga kwa maneno makali wana ccm wenzako! Huu siyo utaratibu wa chama hata kidogo.Nimeipenda sana hii message ya Ndugai leo.. Kuna kama yule Chalamila anajionaga Rais wa Dunia kuwa tu RC ni tatizo sana yule, very narrow minded idiot kabisa yule. Alafu kuna Happy wajichunge sana.