Siyo vizuri kuwananga kwa maneno makali wana ccm wenzako! Huu siyo utaratibu wa chama hata kidogo.Nimeipenda sana hii message ya Ndugai leo.. Kuna kama yule Chalamila anajionaga Rais wa Dunia kuwa tu RC ni tatizo sana yule, very narrow minded idiot kabisa yule. Alafu kuna Happy wajichunge sana.
Una bei ganiMsalimie CPA Ruge!
Yeye (Ndugai) ndiye amekuwa kiranja mkuu au kachanganyikiwa? Hapaswi kukemea watu wasiokuwa chini ya ya mhimili wake.
Spika Ndugai amesema wakuu wa mikoa na wilaya wana tabia ya kujifanya wao ni marais wa mikoa au wilaya, tabia ambayo siyo nzuri na haipendezi.
Ndugai amesema Rais wa nchi hii ni mmoja tu mh Samia Suluhu Hassan wakuu wa mikoa na wilaya wazingatie hilo.
Source: Channel ten
Kukosoa na kukosolewa ndio utamaduni wa chama bwashee!Siyo vizuri kuwananga kwa maneno makali wana ccm wenzako! Huu siyo utaratibu wa chama hata kidogo.
Ameshauri hajakemea!Yeye (Ndugai) ndiye amekuwa kiranja mkuu au kachanganyikiwa? Hapaswi kukemea watu wasiokuwa chini ya ya mhimili wake.
Mkuu huu ni unafiki wa hali ya juu. Mbona hakuyasema hayo enzi za mwendazake. Na yeye anavyo vunja katiba ya nchi na kuona Tanzania ni yeye tu mwenye mamlaka.
Spika Ndugai amesema wakuu wa mikoa na wilaya wana tabia ya kujifanya wao ni marais wa mikoa au wilaya, tabia ambayo siyo nzuri na haipendezi.
Ndugai amesema Rais wa nchi hii ni mmoja tu mh Samia Suluhu Hassan wakuu wa mikoa na wilaya wazingatie hilo.
Source: Channel ten
Anakata gogo kwa raha zake
Bwashee kila zama na kitabu chake!Mkuu huu ni unafiki wa hali ya juu. Mbona hakuyasema hayo enzi za mwendazake. Na yeye anavyo vunja katiba ya nchi na kuona Tanzania ni yeye tu mwenye mamlaka.
Yeye ndiye anajifanya rais sasa, jamaa mnaa mnaa..Yeye (Ndugai) ndiye amekuwa kiranja mkuu au kachanganyikiwa? Hapaswi kukemea watu wasiokuwa chini ya ya mhimili wake.
Basi angenukuu hata kasheria kauongo na ukweli aonekane anajua vifungu badala ya kuropoka kama mgonjwa wa akili
Spika Ndugai amesema wakuu wa mikoa na wilaya wana tabia ya kujifanya wao ni marais wa mikoa au wilaya, tabia ambayo siyo nzuri na haipendezi.
Ndugai amesema Rais wa nchi hii ni mmoja tu mh Samia Suluhu Hassan wakuu wa mikoa na wilaya wazingatie hilo.
Kwani kakwambia anataka imuondoe mtu? Yeye anataka wonders tenaInaweza kukuondoa wewe!
Tena anarudi kwa nguvu kubwa ,utazani sio yeyeBaada ya ofisi yake kupata tetemeko naona jamaa kaanza kujirudi... ma opportunist bana hawanaga aibu.
Maneno sahihi toka spika mbovu.Ndugai kaongea ukweli mtupu!
Kabisa kabisa!Corona hebu tufanyie maajabu mengine tena!
Spika Ndugai amesema wakuu wa mikoa na wilaya wana tabia ya kujifanya wao ni marais wa mikoa au wilaya, tabia ambayo siyo nzuri na haipendezi.
Ndugai amesema Rais wa nchi hii ni mmoja tu mh Samia Suluhu Hassan wakuu wa mikoa na wilaya wazingatie hilo.
Inaweza kukuondoa wewe!
Usifananishe taka na vitu vya ajabu ajabu, unless hizo taka unazomaanisha ni haja kubwa!Ndugai ni takataka kuliko hata hao wakuu wa mikoa