Spika Ndugai: Rais Samia naomba unisamehe kwa sintofahamu iliyotokana na kauli yangu🙏

Spika amekuwa mnyonge sana lkn ujumbe wke ulifika na kueleweka tunahitaj katiba mpya tumupungizie madaraka rais na kuwa na mihili uhuru bila kuingiliwa hapo tutapata maendeleo ya kweli na utakuwa mwisho ccm
Sasa mlitaka Rais ndiyo awe mnyonge kwa watu wake? Kwa kauli ile angesimamaje kama amiri jeshi mkuu? Acheni hizo, kuomba msamaha kwa watanzania na kiongozi wa nchi ni busara kubwa mno tena hili litamfanya Mh. Rais kuweza kufikiria kama kuna substance katika kauli zile.

Unaweza kuwa na hoja lakini, hoja huwekwa katika context takiwa siyo kudhalilisha na kumwondolea mtu confidence yake na ya watu anaowaongoza. Haifai wala haikiwa ushujaa kukosoana hadharani kama vile mmetalikiana wakati ndoa yenu i hai na mna chumba chenu ambacho mnaweza kumaliza shida na raha zenu pasipo kusumbua public...Tuipende nchi yetu na watu wake
 
Wanasiasa wengi Africa hawawezi kufanya kazi nyingine wakitoka madarakani
 
Acha kusifia ujinga Ndungai kama Ndungai, apaswi kuwepo hapo alipo.bunge kalifanya seheme yake ya kupiga pesa, malaya 19 wa kisiasa wanafanya nini bungeni, wanawakilisha chama gani?
 
Rubbish, akili zako na huyo jamaa zinafanana. Nchi imelemewa na madeni, yani mwaenda kopa mnunue tiles na Mabati ya kijani upuuzi mtupu.
 
nimemsikiliza ikabidi nibadili channel,haeleweki,mara aseme amenukuliwa vibaya,mara aseme ni maneno ya mitandaoni ,mara aombe msamaha yani haeleweki huyo mzee

Amechanganyikiwa kwani anaona mwisho wake ndio unawadia!!!
 
Amechanganyikiwa kwani anaona mwisho wake ndio unawadia!!!
hawa wazee wetu ni shida sana,mimi mpaka leo namuheshimu sana yule mzee aliyekuwa msimanizi mkuu wa Hosp ya Dodoma,sijui jina lake,yule alikua anatetea uhalisia bila kumuogopa Boss wake
 
Tanzania tumekomaa katika governance, otherwise nchi ingeshavurugika hii...Hongereni sana taasisi zetu kwa huu umakini wenu, Mungu aendelee kuwabariki. Naamini kuna sehemu watu saa hizi wamechanganyikiwa zaidi kuhusu nchi yetu
 
Kairudie katiba kwa mara ya pili...Rais ni sehemu ya bunge na ni sehemu ya Judiciary...Kisha ni mkuu wa executives...Hakuna executive yeyote ilishawahi kuwa juu ya Bunge, wala juu ya Judiciary; ila tuna taasisi ya U rais iliyo juu ya zote hizo tatu kwa mujibu wa katiba yetu na ndiyo maana tumeendelea kuwa wamoja, watulivu na hakuna ambaye ameshawahi kuishinda Tanzania...Hakuna template yetu dunia nzima, ndiyo sababu majaribu yote yameshindikana kutuvuruga nchi yetu. Poleni sana wenye uchu wa madaraka na maslahi binafsi...
 
Lakini akina Polepole, Gwajima na Slaa wameonyesha wako ngangali kuliko Spika.

Mkuu wa Mhimili hatakiwi aonyeshe such weakness. Hata kama alikosea angeapologize kiaina siyo direct kihivyo kama mtoto wa shule au raia wa kawaida.
Kiuhalisia wameipunguzia heshima taasisi yake, huu ndiyo ukweli lakini ipi bora, kuupunguzia nchi confidence yake au individuals ambao wameshindwa kuwa wise jinsi ya ku act?

We are growing and learning at same time...Roma haikujengwa kwa siku moja
 
Uoga ni ujinga uliopitiliza na ndio upumbavu wenyewe,but message watanzania wamepata na alichosema ni ukweli na utabaki hivyo deni ndo hilo limefikia hapo hatukujua sasa tumejua hata akiomba radhi but message aliyokusudia imekuwa sent vzr hata waliosema Ndugai aombe radhi wao ndio hawakujielewa kabisa walikuwa wanapoteza muda wao.Siku inakuja MUNGU ataikomboa nchi hii CCM na upumbavu wake imefanya nchi hii inanuka kila aina ya uchafu.
 
Kwa maana nyingine ameonyesha kuwa Tanzania ni kubwa kuliko individuals, ambaye hatamuelewa hahitaji kuambiwa maana...Bravo Mh. Speaker, umeonyesha maturity ya hali ya juu kuomba msamaha kwa raia wa nchi yako
 
Mkopo wa trilioni 1.3 ndio umemaliza/unatumalizia changamoto zetu lukuki za kifedha?!!!!

Siempre JMT
 
Kama huna taarifa sahihi piga kimyaa. Unaonekana Chizi.
 
TRA wamekusanya trillion 2.51 December pekee, halafu tunakopa trillion 1.3 za kujenga madarasa yenye tiles upunguani hautakaa uishe.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…