Spika Ndugai: Siyo lazima mbunge kuapa ndani ya Bunge lililo muhimu ni Mbunge kuapa mbele ya Spika!

Hata kwenye michezo ,' kelele za washangiliaji zikizidi ujue ushindi umekaribia'

Ngoja tuone nani ataibuka bingwa hapa.
 
Hahaha Chadema inayorudisha maendeleo ya taifa leo inalazimishwa kwenda bungeni!.

Kwani wabunge wa ccm hawawezi kuendelea na vikao bila wabunge wa chadema?!

Kama mnajua ccm hawana akili Kwanini mlilazimisha waende bungeni?!
 
Kwahyo wakiteua wengine means mmekubali kuwa Uchaguzi ulikua huru na wa haki?
 
Waliofurahi kuapishwa hao wasaliti ni mataga sababu kuu ni wanajua mchezo mzima ! Litakua jambo la ajabu eti ukute harusi ya mwanafamilia inaendeshwa na kufurahiwa na majirani kuliko wanafamilia...
 
This is the most important thing that everyone of us should take into account!! Naamini hawa wamama watafanya upinzani thabit na kwa kuwa ni wanawake basi tutegemee kuvuta hisia kwenye bunge hili ambalo hali kua na meno angalau jino moja limeongezeka. Wabunge hawa sio wachache wakiwa na uzalendo uliotukuka wataamusha bunge bubu kuwa bunge semi!!!

Sent from my SM-G920F using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…