kipara kipya JF-Expert Member Joined May 2, 2016 Posts 18,833 Reaction score 23,276 Nov 24, 2020 #41 Jitahidini hivyo hivyo tumewazoea ama kwa hakika! mama kubwa said: Hata shingo za kukaza tunazo tena? [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] Click to expand...
Jitahidini hivyo hivyo tumewazoea ama kwa hakika! mama kubwa said: Hata shingo za kukaza tunazo tena? [emoji17][emoji17][emoji17][emoji17][emoji17] Click to expand...
wa stendi JF-Expert Member Joined Jul 7, 2016 Posts 25,190 Reaction score 27,434 Nov 24, 2020 #42 Kilichotokea ni sawa na watoro waliokuwa wametoroka wakarudi alafu ndo wanaapa mbele ya mwalimu mkuu lakini adhabu baadae iko pale pale Sent using Jamii Forums mobile app
Kilichotokea ni sawa na watoro waliokuwa wametoroka wakarudi alafu ndo wanaapa mbele ya mwalimu mkuu lakini adhabu baadae iko pale pale Sent using Jamii Forums mobile app
kavulata JF-Expert Member Joined Aug 2, 2012 Posts 13,778 Reaction score 14,214 Nov 25, 2020 #43 Mromboo said: Huu mchezo umechezwa kwaakili kubwa sana. Hata Mbowe anajua mchezo mzima. Ila pia nimeona ni vyema maana hata wakisusa hakuna jipya Pia Chadema itatumia hao hao wabunge kuleta angalau upinzani kidogo Bungeni na kuifanya CCM ifunguke akili kidogo Click to expand... Ilikuwa lazima iwe hivyo kwa gharama zozote kuokoa bageti
Mromboo said: Huu mchezo umechezwa kwaakili kubwa sana. Hata Mbowe anajua mchezo mzima. Ila pia nimeona ni vyema maana hata wakisusa hakuna jipya Pia Chadema itatumia hao hao wabunge kuleta angalau upinzani kidogo Bungeni na kuifanya CCM ifunguke akili kidogo Click to expand... Ilikuwa lazima iwe hivyo kwa gharama zozote kuokoa bageti