"Tusimuache Mama Peke yake"
Kauli hii imetolewa na Spika wa Bunge Mhe. Ndugai leo hii Bungeni wakati akithibitisha adhabu ya Mbuge wa Kawe na Ukonga.
kauli hiyo ameitoa kwa hisia kali huku akimnyooshea kidole Waziri wa Mambo ya ndani kuchelea au kusita kuchukua hatua ama kukemea viashiria vya uvunjifu wa amani ya nchi.
Kauli hii ya Mhe. Spika imepenya masikioni na imenitafakarisha sana na kwa maoni yangu nadhani kuna baadhi ya Mawaziri na manaibu waziri hawamsaidii Rais ipasavyo ni kama vile "wame pararize".
kuna mambo yanajitokeza ambayo yanatakiwa either kukemewa au kutolewa maelezo na waziri husika lkn wapo kama hawapo.
Kwakweli Mawaziri amabao hawataki au hawataki au wameamua kugomea basi ni bora waachie ngazi mara moja maana hatuwaelewi kabisaa.
Mawaziri, Manaibu waziri, watendaji wa taasisi mbalimbali badilikeni.
Tunawajua na tunawaona mawaziri wote ambao "wanazuga" badala ya kushughulikia mambo ya msingi yanayo wagusa watanzania wao wanazungumzia mambo yasiyo ya msingi kabisaa kama vile hawajui lolote vile
Kumbe wanaumua kuzuga kwa maksudi, either kwa kutokutaka lawama au kwa kutaka kujipendezesha!! wanapaswa waelewe kuwa Ukiwa kiongozi lazima utalaumiwa tu, lazima utachafuliwa tu, jambo la msingi ni kuchapa kazi kwa masilahi ya Watanzania bila kujali makelele ya wahuni wachache.
Baadhi ya Mawaziri wana yumbishwa na kelele za wahuni wachache.
Kauli hii imetolewa na Spika wa Bunge Mhe. Ndugai leo hii Bungeni wakati akithibitisha adhabu ya Mbuge wa Kawe na Ukonga.
kauli hiyo ameitoa kwa hisia kali huku akimnyooshea kidole Waziri wa Mambo ya ndani kuchelea au kusita kuchukua hatua ama kukemea viashiria vya uvunjifu wa amani ya nchi.
Kauli hii ya Mhe. Spika imepenya masikioni na imenitafakarisha sana na kwa maoni yangu nadhani kuna baadhi ya Mawaziri na manaibu waziri hawamsaidii Rais ipasavyo ni kama vile "wame pararize".
kuna mambo yanajitokeza ambayo yanatakiwa either kukemewa au kutolewa maelezo na waziri husika lkn wapo kama hawapo.
Kwakweli Mawaziri amabao hawataki au hawataki au wameamua kugomea basi ni bora waachie ngazi mara moja maana hatuwaelewi kabisaa.
Mawaziri, Manaibu waziri, watendaji wa taasisi mbalimbali badilikeni.
Tunawajua na tunawaona mawaziri wote ambao "wanazuga" badala ya kushughulikia mambo ya msingi yanayo wagusa watanzania wao wanazungumzia mambo yasiyo ya msingi kabisaa kama vile hawajui lolote vile
Kumbe wanaumua kuzuga kwa maksudi, either kwa kutokutaka lawama au kwa kutaka kujipendezesha!! wanapaswa waelewe kuwa Ukiwa kiongozi lazima utalaumiwa tu, lazima utachafuliwa tu, jambo la msingi ni kuchapa kazi kwa masilahi ya Watanzania bila kujali makelele ya wahuni wachache.
Baadhi ya Mawaziri wana yumbishwa na kelele za wahuni wachache.