Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yupo mjuaji zaidi ana uwezo wa kukupa ujumbe bila kuwa na Chama covid 19Tatizo lao wamekutana wote ni wajuaji!
Tatizo lao wamekutana wote ni wajuaji!
Haya tiba nini?Wewe kipara cha zamani Ujuaji sio tatizo ila kumtisha mwenzako ili akae kimya ni tatizo kubwa.
Pia Kuwa mjuaji kama unajua sio tatizo, tatizo ni kuwa mjuaji wakati hujui. Jenerali anajua.
Kupiga picha na viongozi mbalimbali haikupi mamlaka ya kuropoka hivyo,ndio maana mkapa alimnyang'anya uraia amshukuru jaji waryoba kumsaidia,na wakati wa magu,alimpigia simu kumuonya asiropoke,jamaa kafikisika kabisa anategemea mkewe kwa kika kitu, sasa ndio anaropoka hovyoNaona spika anapenda kijilinganisha na watu waliomzidi sana. Kwanza ilikuwa Prof Assad sasa Mzee Ulimwengu.
View attachment 2008434
View attachment 2008435
View attachment 2008436
Si amemtusi na kumdhalilisha nduguyoKwa hiyo kwa hizi picha Ulimwengu amefanya kipi cha ziada katika kuitumikia nchi yetu?
ANAKIPI?Naona spika anapenda kijilinganisha na watu waliomzidi sana. Kwanza ilikuwa Prof Assad sasa Mzee Ulimwengu.
View attachment 2008434
View attachment 2008435
View attachment 2008436
Kwa hiyo kwa hizi picha Ulimwengu amefanya kipi cha ziada katika kuitumikia nchi yetu?
Amejenga uwanja wa ndege huko chato na mahoteli yake huko huko chato.
Tuna kazi kubwa ya kuwaondoa akina Ndugai na mifumo yao la sivyo nchi hii hali itakuwa mbaya zaidi.Naona spika anapenda kijilinganisha na watu waliomzidi sana. Kwanza ilikuwa Prof Assad sasa Mzee Ulimwengu.
View attachment 2008434
View attachment 2008435
View attachment 2008436
Ndungai hana ujuaji wowote ni chawa tu kama kina Baba Levo.Tatizo lao wamekutana wote ni wajuaji!
Haya tiba nini?
Sina imani na wote wawili, Ndugai na Jenerali Ulimwengu.Naona spika anapenda kijilinganisha na watu waliomzidi sana. Kwanza ilikuwa Prof Assad sasa Mzee Ulimwengu.
View attachment 2008434
View attachment 2008435
View attachment 2008436
Unalipwa shingapi inayokufanya uwatukane wazee waandamizi nchini mwako?Kupiga picha na viongozi mbalimbali haikupi mamlaka ya kuropoka hivyo,ndio maana mkapa alimnyang'anya uraia amshukuru jaji waryoba kumsaidia,na wakati wa magu,alimpigia simu kumuonya asiropoke,jamaa kafikisika kabisa anategemea mkewe kwa kika kitu, sasa ndio anaropoka hovyo
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nyie mazuzu ebu semeni ukweli hivi kuna mtu anamzidi uropokaji ndugunjaa?Uwezo wake wa kufikiri ni mdogo sana,kuwa speaker anajiona hawez kusemwa imagine awe amiri jeshi mkuu?Ufupi nao shidaKupiga picha na viongozi mbalimbali haikupi mamlaka ya kuropoka hivyo,ndio maana mkapa alimnyang'anya uraia amshukuru jaji waryoba kumsaidia,na wakati wa magu,alimpigia simu kumuonya asiropoke,jamaa kafikisika kabisa anategemea mkewe kwa kika kitu, sasa ndio anaropoka hovyo
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Naona spika anapenda kijilinganisha na watu waliomzidi sana. Kwanza ilikuwa Prof Assad sasa Mzee Ulimwengu.
View attachment 2008434
View attachment 2008435
View attachment 2008436
Nililisoma andiko la Salva Rweyemamu siku za kampeni ya kumtafuta mgombea wa CCM kwenye nafasi ya Urais 2005 lililommaliza Salim Ahmed Salim kwa kumuhusisha na Hizb waliomuua Karume Senior huku akimpamba vilivyo JK. Hawa wawili ndio walioonekana kua hot and serious contenders wa hiyo nafasiSina imani na wote wawili, Ndugai na Jenerali Ulimwengu.
Sina imani na Jenerali Ulimwengu hata kidogo tokea gazeti lake la Rai kwenye kampeni ya 2005 limchafue Salim Ahmed Salim na kumpamba JK na wengi walioshiriki walibarikiwa kupewa vyeo!!
BW Mkapa ile kampeni timu yake ya 1995 wale wengi wa karibu aliwatema live na hapo ndo bifu kuubwa mkapa alilopata toka kwa hao akina Jenerali na wenzie.
Kwa hiyo Jenerali hakutegemea kabisa kutoswa kivile mpaka akaanzisha makala kali za kuukosoa sana utawala wa BWM.
JK kuingia mwanzoni akaanza kumpamba, nanukuu ''Kwa mara ya kwanza tumepata kiongozi anayekemea rushwa kwa uwazi kabisa''. (maneno ya Jenerali hayo kwa JK)
Ghafla akagundua jamaa wala sio kama anavyofikiri. Hapo alitambua nguvu za akina Rostam Aziz dhidi ya JK na mtandao kwa ujumla ambao Jenerali hawakumu hitaji yeye, Salva, Shoo wakaparaganyika na RA kiulaini akainunua HCL na kuiweka chini yake huku Salva akielekea Ikulu, Shoo mtaani lakini akipata chapuo za kazi toka kwa RA kupitia Salva.
Wakati wa Mwendazake huyu Jenerali alikuwa baridi kama maji ya kwenye mtungi. Hakuthubutu kumkosoa wala kimsema kwani alijuwa kuwa anaweza kumpoteza kama walivyopotea akina Ben Saanane.
Tunaposhabikia hii vuta nikuvute ya Jenerali tujuwe tuna deal na mtu anayependa kujifanya ana akili sana na ni mjuwaji wa kuweza kumuamrisha hata Rais afanye anavyotaka yeye