Spika Ndugai usijilinganishe na Jenerali Ulimwengu

Spika Ndugai usijilinganishe na Jenerali Ulimwengu

Ameiwakilisha nchi katika/ameifanyia nchi mambo mengi ambayo ukiwa serious kuperuzi utayafahamu kwani inaonekana enzi yuko active serikalini haukuwa na ufahamu. View attachment 2008865
Sawa, alikuwa hata mkuu wa wilaya, aliacha legacy gani akiwa mkuu wa wilaya? Mnamwita mwandishi wa habari nguli, uandishi wake wa habari umefanya nini kuitambulisha nchi ya Tanzania? ni kipi legacy ya Ulimwengu kwenye jamii ya Tanzania kwenye tasnia ya uandishi wa habari? Nini kizazi kipya cha Tanzania kitajifunza kwa Ulimwengu?

Last I checked hakuna cha kujifunza kwa Ulimwengu zaidi ya maandiko yake yaliyojikita kwenye nadharia ya ulalamishi kwa mtawala wa wakati.
 
Sawa, alikuwa hata mkuu wa wilaya, aliacha legacy gani akiwa mkuu wa wilaya? Mnamwita mwandishi wa habari nguli, uandishi wake wa habari umefanya nini kuitambulisha nchi ya Tanzania? ni kipi legacy ya Ulimwengu kwenye jamii ya Tanzania kwenye tasnia ya uandishi wa habari? Nini kizazi kipya cha Tanzania kitajifunza kwa Ulimwengu?

Last I checked hakuna cha kujifunza kwa Ulimwengu zaidi ya maandiko yake yaliyojikita kwenye nadharia ya ulalamishi kwa mtawala wa wakati.
Una umri gani mkuu?
Elimu yako je???
Tukikuuliza maana ya LEGACY unaelewa?
Huyu ulimwengu ulianza kumjua lini?
Unazifahamu kazi za mkuu wa wilaya?
Unaikumbuka mihadhara ya kina mazinge?
Unakumbuka legacy ya ulimwengu kwenye hilo??
 
Una umri gani mkuu?
Elimu yako je???
Tukikuuliza maana ya LEGACY unaelewa?
Huyu ulimwengu ulianza kumjua lini?
Unazifahamu kazi za mkuu wa wilaya?
Unaikumbuka mihadhara ya kina mazinge?
Unakumbuka legacy ya ulimwengu kwenye hilo??
Nitafute legacy kwenye mihadhara? Watu wa enzi zake waliotumia vizuri fursa hatutafutizi legacy zao hadi kwenye miadhara na makongamano.
 
Nitafute legacy kwenye mihadhara? Watu wa enzi zake waliotumia vizuri fursa hatutafutizi legacy zao hadi kwenye miadhara na makongamano.
Soma vizuri... kutumia fursa vizuri ni pamoja na kuibia nchi???? Mtu mpaka ametumwa na nchi kwenda kuiwakilisha nje miaka kibao bado hutambui hiyo kama LEGACY??
Au LEGACY mpaka ujenge madaraja?
I
 
Kipindi hicho jobu yuko kongwa anatembea bila nguo,pua zimejaa kamasi,macho yamejaa nzi...kavaa manati shingoni ngozi imejaa mbaa
 
2011
Jenerali Ulimwengu : presentation on : What we learn, How we learn it and for what.


Furthermore what is the difference between education and training.. colonial education , ambushes at examinations, how to teach and how to learn , 'dropouts' do graduate throughout primary education, secondary and at Higher level education, How not to teach, critical thinking...... In Europe only two countries teaches in English one is Malta and the other is ...
Source : ICWE
 
Ndungai hana ujuaji wowote ni chawa tu kama kina Baba Levo.
100% right....****** ni chawa wa level ya wakina Masanja mkandamizaji.
Bunge zake dhaifu.
Bungeni wamejaa mazuzu

...hili la yeye kuropoka "atake asitake" ni muhuri wa moto kwenye uzuzu.

Anywe dawa, hasira hazitamsaidia.
 
2021

JENERALI ULIMWENGU : 1961 BAADA YA WAKOLONI WEUPE KUONDOKA, WAKOLONI WEUSI WAKAINGIA

Jenerali Ulimwengu anafafanua hawa wakoloni weusi waliingiaje na kwanini hawataki kushirikisha raia mpaka leo 2021 waamue wao wenyewe nchi yao iende vipi


Source : Mubashara studio
 
Una umri gani mkuu?
Elimu yako je???
Tukikuuliza maana ya LEGACY unaelewa?
Huyu ulimwengu ulianza kumjua lini?
Unazifahamu kazi za mkuu wa wilaya?
Unaikumbuka mihadhara ya kina mazinge?
Unakumbuka legacy ya ulimwengu kwenye hilo??
Wakati wa marehemu Marry Chips akiwa RC Dar
 
Hakuna wa kulaumiwa ulimwengu katoa rai yake kama jina la gazeti lake ndugai anapenda kusema wakae kimya tu!
Hujasema kwann wakae kimya wala hukuweza kusema kama kutoa maoni ni kosa kisheria wala hukuweza kutaja sheria yyte hapa.
Zuzu ndugai anatisha watu akiwa amevaa gani.
Ulimwengu siyo slaa wa bodaboda asitishwe
 
Hujasema kwann wakae kimya wala hukuweza kusema kama kutoa maoni ni kosa kisheria wala hukuweza kutaja sheria yyte hapa.
Zuzu ndugai anatisha watu akiwa amevaa gani.
Ulimwengu siyo slaa wa bodaboda asitishwe
Nafikiri hiyo imetosha!
 
Tatizo lao wamekutana wote ni wajuaji!
Sasa ndugai anajuanini fala wewe zaidi ya kupiga picha na mikorosho kitu ambacho ni hadimu ugogoni.
1636699268645.jpg
 
Back
Top Bottom