Anapuu vichakani😃😀Kipindi hicho jobu yuko kongwa anatembea bila nguo,pua zimejaa kamasi,macho yamejaa nzi...kavaa manati shingoni ngozi imejaa mbaa
Kwanza Kujenga madaraja sio LEGACY.Soma vizuri... kutumia fursa vizuri ni pamoja na kuibia nchi???? Mtu mpaka ametumwa na nchi kwenda kuiwakilisha nje miaka kibao bado hutambui hiyo kama LEGACY??
Au LEGACY mpaka ujenge madaraja?
I
Yaani we mafi unamlinganisha huyo bwanamifugo wako na jenerali ulimwengu?Jenerali ulimwengu sio mtanzania , Mimi simkubali Bora kina lissu na mbowe wakosoe maana ni wenzetu, jenerali anatumika na kagame
Habithi la ammar!Sasa ndugai anajuanini fala wewe zaidi ya kupiga picha na mikorosho kitu ambacho ni hadimu ugogoni.View attachment 2009811
Naona spika anapenda kijilinganisha na watu waliomzidi sana. Kwanza ilikuwa Prof Assad sasa Mzee Ulimwengu.
View attachment 2008434
View attachment 2008435
View attachment 2008436