1 1954 JF-Expert Member Joined Nov 14, 2006 Posts 11,246 Reaction score 13,722 Nov 12, 2020 #221 Wewe ukipata ajira mahali baada ya usaili na ukafaulu usaili. Halafu unaambiwa ripoti kazini tarehe fulani, je usipokwenda au kuripoti kwa miezi mitatu unadhani utakuwa una haki gani kwa kushindwa kwako kuripoti?
Wewe ukipata ajira mahali baada ya usaili na ukafaulu usaili. Halafu unaambiwa ripoti kazini tarehe fulani, je usipokwenda au kuripoti kwa miezi mitatu unadhani utakuwa una haki gani kwa kushindwa kwako kuripoti?