Spika Ndugai: Wabunge watoro warejeshe fedha zote walizolipwa kuanzia Mei 1-17 jumla ya Tsh. Milioni 110

Nilikuwa nashauri upite mchango wa haraka sn kuwachangia wabunge wetu hiyo mill 110
.
Yaani kumbe wanalipwa 340000 kwa siku moja na tayari walikuwa wamewekewa. hela ya wiki moja
 
Thread kama hii usipokuwa mwangalifu siku yako inaweza kuharibika.
 
Hizi zile za matibabu ya ajabu na wasaidizi wako India wewe spika ndio mchezo umekufa? zinatuuma sana sisi walipa kodi! na kufukia hili ndio maana unatumika vibaya hadi bunge limepoteza mvuto kabisa!
 
Ndugai alikuwa na Audit Query ya matumizi mabaya ya fedha kwenye Audit report ya 2016/17. Kama unakumbuka allazwa Hospitali ya India na kutumia Bilions kwa kuwa alikwenda na familia, nurse na mpambe tofauti na sera inataka aende na msindikizaji mmoja.

Aliporudi utakumbuka alitaka kumtunishia kidogo Jiwe kwa kumtetea Zitto Kabwe alipotaka kushikwa ndani ya Bunge. Na kwa kweli alikuwa na nia ya kutaka kusimama kama Spika Huru na Mhimili wake. Jiwe akamtishia kupitia watu wa Usalama kwa kunmuambia akiendelea kupishana naye basi atazianika kashfa zake zilizoibuliwa na CAG. Nakwamba ifikapo 2020 hawatampitisha kuwa Sipka wa Bunge instead watampitisha Tulia Ackson.

Basi baada ya hapo ikabidi asalimu amri na kuanza kumunga mkono.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…