Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,197
- 128,160
Mbaya zaidi Mwambe alivyotangaza kuwa amejiuzulu ubunge na kuhama chama aliacha kabisa kuhudhuria vikao vya bunge lakini Spika Ndugai ndiyo akamuomba aje kuendelea na bunge 🤣🤣🤣Ivi wanasheria emu tupeni dondoo kidogo, mtu aliyetamka hadharani mchana kweupe na ushahidi wa ile clip bado ipo huwa haitoshi? mpaka aandike barua?
Natamani Mbowe kesho aende kwenye Media aseme nimejiuzulu ubunge Spika kweli ataendelea kumwambia wewe bado ni mbunge mpaka ulete barua?