Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 40,455
- 73,145
Bunge ndio linatuaibisha kama taifa....masuala ya yanga waachiwe yanga spika anataka kuwa msemaji kama haji Manala wa simba, ? Poor us! Walifungwa brazili saba na wakapoteana kweli kweli sembuse yanga, ? Acheni hizo spika simamia bunge lako wabunge mnapigana tu miti huko hakuna mnachofanya sheenzi
Ha ha ha! Ndugai kaingia choo cha kike atatukanwa mpaka akome. Hawa 4G si wakuwakebehi bungeni labda huku mitaani, watu wanachungu kama wanajifungua kisha anawaletea mazeleu? Eti kupoteana uwanjani? Jee wangepotea tena na kupanda ndege ya Msumbiji na kushukia Beira kisha waje na bodaboda angesemaje?awaache kabisa timu yetu yenye mazoea ya kutwangwa mechi za huko nje ingawa wao wanajiita wa "kimataifa" wakati ni wa "matopeni"