Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Atafukuzwa kwenye chama, hapo amemgusa Rostam AziziLuhaga Mpina ametoa ushauri mzuri sana. Na hapa ni dhahiri kuwa kuna kitu chini ya kapeti. January amefanya hujuma zake mwenyewe ili mradi usikamilike. Dalili na harufu za hujuma zipo wazi.
Huyu Bashe ndio hafai kabisa kwa nini nchi za jirani bei za Mbolea zipo chini kuliko hapa Tanzania.?
👇
Mpina aikomalia Wizara ya Nishati
Mkuu kwani ikiundwa tume kuna shida gani? issue siyo bwawa kuna mbolea, petrol, bidhaa mbalimbali kupanda bei n.kWasukuma kubalini matokeo, muda wenu umekwisha baada ya kifo cha Dikteta wa Chato. Hilo bwawa lilianza kujengwa bila mipango mahususi ikiwa ni pamoja na vyanzo vya fedha. Uchelewashaji hausababishwi na Januari.
Hata kama Mwendazake na Kalemani wangekuwapo still hiyo JNHEP dam ingekuwa bado. Mwendazake alitanguliza UWONGO kwenye kila jambo ili kuwa fool wajinga kama Luhaga Mpina kuwa yeye ni mchapakazi
Mkuu, mataifa mengine hayajapata taarifa ya vita ya Ukraine. Sisi tuko mbele ya muda taarifa ilitufikia mapema hivyo madhara yake kuwa makubwa ncini kwetuLuhaga Mpina ametoa ushauri mzuri sana. Na hapa ni dhahiri kuwa kuna kitu chini ya kapeti. January amefanya hujuma zake mwenyewe ili mradi usikamilike. Dalili na harufu za hujuma zipo wazi.
Huyu Bashe ndio hafai kabisa kwa nini nchi za jirani bei za Mbolea zipo chini kuliko hapa Tanzania.?
[emoji116]
Mpina aikomalia Wizara ya Nishati
Angalau tu umma ujue ukweli wa jamboAta wakikuta madudu au upigaji watawafanya nini sasa waliopiga maana chama kilisha bariki wizi wa mali za umma
Hapo ndani kwenye huo mradi kuna Rostam AziziNov 2021 ilikuwa zoezi la kujaza maji lianze ila January akazingua.
ni wale wale ndege wanaoruka pamoja.Wewe kila kitu unapinga tu
Najua bado una machungu ya 2020.
Mbona aliyekuwa Mkurugenzi wa jiji Arusha amepandishwa kizimbani
Sio sababu ya kukataa hoja za msingi zinazotolewa na kama Luhaga MpinaNi kweli, tena bonge la uchungu.😂😂😂
Sio sababu ya kukataa hoja za msingi zinazotolewa na kama Luhaga Mpina
...halafu akawa Mpima urefu wa samaki waliovuliwa. Kawatesa Sana wavuvi Ziwa Viktoria.Mnafiki tu huyo Mpina, mbona kipindi cha magu alikaa kimya wakati uhayawani unafanyika?
Hujui kama hujui chochote kuhusu umeme na mikataba zaidi ya kwamba wewe ni mhanga wa uwongo wa Magufuli. Na nyinyi wajinga ndiyo mlikuwa mtaji wa Magufuli kwa miaka 5.Alipoteuliwa makamba kuwa waziri wa hii wizara tulijua yafuatayo;
1. Michezo michafu ya kubinafsisha gas yetu ambayo mwendazake aliikataa kwa kuanza kujenga hili bwawa utazimwa!
2. Lengo kuu la hawa watu wa awamu ya 4 ni gas itumike kama nishati ya umeme hivyo wao kuwauzia umeme Tanesco na kuendelea kuifilisi nchi.
3. Mpango huu umeasisiwa na muuza gas mkubwa na tapeli mkubwa na hatari sana!
Kumbekeni mikataba mibovu ya gas ktk awamu ya 4 iliyopitishwa na wabunge wa ccm lengo lilikuwa hili lkn magu alikataa
Huna akili wewe pimbi. Unajua madhara ya uvuvi haramu?...halafu akawa Mpima urefu wa samaki waliovuliwa. Kawatesa Sana wavuvi Ziwa Viktoria.
No more funds are available for the project. I see it as a failing elephant.January ndiye rais?
January ndiye VP?
January ndiye PM?
January ndiye Baraza la mawaziri?
Hivi mleta mada unadhani waziri January ana nguvu kiasi cha kuchelewesha mradi ambao rais na serikali yake wote wanataka uishe?
Acha utoto.
Hilo nalo neno !! Mnyonge mnyongeni !January ndiye rais?
January ndiye VP?
January ndiye PM?
January ndiye Baraza la mawaziri?
Hivi mleta mada unadhani waziri January ana nguvu kiasi cha kuchelewesha mradi ambao rais na serikali yake wote wanataka uishe?
Acha utoto.
Magu anakuwasha, jinga weeeMnafiki tu huyo Mpina, mbona kipindi cha magu alikaa kimya wakati uhayawani unafanyika?
Ukweli iundwe tume tujue mbivu na mbichi,Luhaga kuna jambo analijua linafanyika kuhusu huu mradi.Hoja hapa ni kuunda tume kuchunguza kucheleweshwa mradi wa JNHP
Mpina aache kumsakama Makamba , Rais alishakata mzizi wa fitina pale Tabora na kusema wachape kazi wasisikilize maneno ya watu!Luhaga Mpina ametoa ushauri mzuri sana. Na hapa ni dhahiri kuwa kuna kitu chini ya kapeti. January amefanya hujuma zake mwenyewe ili mradi usikamilike. Dalili na harufu za hujuma zipo wazi.
Huyu Bashe ndio hafai kabisa kwa nini nchi za jirani bei za Mbolea zipo chini kuliko hapa Tanzania.?
👇
Mpina aikomalia Wizara ya Nishati