Tulia hajui au hauwezi hiyo kazi.Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.
Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.
Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?
Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
Nchi ya mazingaombwePole sana kwa kushindwa kuielewa Tanzania.
Hawajui hata limit ya majukum yao., usishangae kesho akazungumzia hata mambo ya afya , ni hovyo hovyo tu ilimradi liende.Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.
Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.
Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?
Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
Hatuna hatujawahi kupata Spika wa kiwango cha TuliaTulia hajui au hauwezi hiyo kazi.
Yupo pale kwa kazi maalumu.
Kiwango cha chini sio?Hatuna hatujawahi kupata Spika wa kiwango cha Tulia
Oya kuna mambo ni ya wahuni wao tuu hayakihusishi chama changuCcm Lao Moja Tu Hata Bandari Kwenda DP World Waliungana Wote
Leo Wanafarakana Hadharani Kuna Wanaosema Wamehongwa Nyumba, Wengine Mtonyo, Wengine Walikwenda Dubai Kuzurura Sijui Cha Kufanya (Kubung'aa) Tu
Ccm Jamani
Watanganyika jifunzeni kwa wenzenu wa visiwani .Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.
Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.
Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?
Juzi spika alisikika akiwaambia wananchi wabebe mahindi yao wakauze kwenye maghala ya serikali.
Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
Huyu hapa!Mjadala wa mahindi inashika kasi bungeni namuona spika Tulia Ackson akiitetea serikali kuhusu sakata la kufungwa kwa mipaka kuzuia usafirishaji wa mahindi nje ya nchi.
Kinachonishangaza ni spika kuzungumza na kutoa maelezo kuhusu msimamo wa sirikali na utaratibu unaopaswa kufanyika.
Hivi hii sio kazi ya waziri wa kilimo Hussein Bashe au Waziri Mkuu Kassim Majaliwa?
Juzi spika alisikika akiwaambia wananchi wabebe mahindi yao wakauze kwenye maghala ya serikali.
Ninavyojua spika hapaswi kuelemea upande wowote kwenye mijadala ya Bunge.
Ata Mama Makinda anamuacha mbali sana Tulia achilia mbali Marehemu Samwel Sitta.Hatuna hatujawahi kupata Spika wa kiwango cha Tulia
🤣🤣🤣Huyu hapa!View attachment 2667624