Spika Sitta Ampiga Mweleka Tido Muhando

Spika Sitta Ampiga Mweleka Tido Muhando

Tatizo tunashindwa hata kuwa na uelewa hata kwenye mambo makini.Mfano hata BBC pamoja na umuhimu wa WC hata siku moja hawawezi kuahirisha mambo ya maana kwa kuonyesha mpira hata kama ENGLAND wanacheza.Nandio maana kunakuwa na TV station nyingi na za michezo kama supersport ili kutochanganya habari.
Walichotakiwa kukifanya TBC wangepromote hiyo TB2 iwe kama Channel ya michezo kama ndio wanaona michezo ina maana kuliko Bajeti ya serikali.

dada usiwaonee tbc au watz kwa kufananisha na bbc....tbc nadhani wana channel 2(im not sure) wakati bbc wanachannel kibao mfano:wana channel ya bunge ambayo 24hr inaonyesha bunge,wanajua wakionyesha bunge kwenye chennel ya kawaida na bunge lilivyo, in 24hrs watapata complaints million plus kutoka kwa walipa kodi wanaoiendesha bbc,kuna BBC NEWS channel 24hrs huku ni news tu,kuna bbc1,2,3 hizi zinaonyesha vipindi tofauti.
tukija kwenye mpira bbc wanaonyesha mpira on bbc1 na muda wanaoonyesha mpira huwa kuna taarifa ya habari na huwa inakuwa CANCELLED bila mjadala.
TBC1,2 NI TV YA TAIFA,inapaswa kuonyesha mpira bure kwa watz wote bila kuwalazimisha kununua DECODERS kwa sababu inaendeshwa kwa kodi za watz na kwa vile walisema ni wao tu wataonyesha WC wanapaswa kuonyesha watanzania wote wenye tv bure,kwa maana hio lazima iwe ON TBC1 kwasababu TBC2 ni mpaka decoder.
 
dada usiwaonee tbc au watz kwa kufananisha na bbc....tbc nadhani wana channel 2(im not sure) wakati bbc wanachannel kibao mfano:wana channel ya bunge ambayo 24hr inaonyesha bunge,wanajua wakionyesha bunge kwenye chennel ya kawaida na bunge lilivyo, in 24hrs watapata complaints million plus kutoka kwa walipa kodi wanaoiendesha bbc,kuna BBC NEWS channel 24hrs huku ni news tu,kuna bbc1,2,3 hizi zinaonyesha vipindi tofauti.
tukija kwenye mpira bbc wanaonyesha mpira on bbc1 na muda wanaoonyesha mpira huwa kuna taarifa ya habari na huwa inakuwa CANCELLED bila mjadala.
TBC1,2 NI TV YA TAIFA,inapaswa kuonyesha mpira bure kwa watz wote bila kuwalazimisha kununua DECODERS kwa sababu inaendeshwa kwa kodi za watz na kwa vile walisema ni wao tu wataonyesha WC wanapaswa kuonyesha watanzania wote wenye tv bure,kwa maana hio lazima iwe ON TBC1 kwasababu TBC2 ni mpaka decoder.
Swali langu ni hili........ kuna ugumu gani wa kuifanya TBC 2 ionekane kwenye antena za tubelight?Kwani ni lazima iwepo kwenye decoder?Kama wameamua kuongeza TBC2 basi iwe wazi kwa watu wote? na je likiisha bunge au Hiyo WC TBC2 itakufa???????????????
 
Hon Speaker, I beg your pardon. Is world cup a nation's priority?

AMAchi hii haina priority ndio maana tulitumia bil 3.3 kuwaleta Brazil na tutatumia Bil 30 kukarabaiti jengo la bunge. Acha tufaidi WC tu sasa
 
Jamani Spika ana akili na busara nyingi kuliko kwakuwa uamuzi wake umezingatia masuala muhimu kabisa
1. Hivyo ving'amuzi vya TBC2 havinunuliki kwa watanzania wengi hasa wanaoishi Urambo, Kyela, Same, Geita, Kigoma, Kilindi, Ikwiriri kwanza ni bei ghali sana kwa maisha ya mtanzania

2. Kama Watanzania walishindwa kwenda kuangalia mechi ya Brazil na Taifa Stars kwa Tsh. 30,000/= Je hiyo ya king'amuzi ndio wangeweza, Spika akaona hapa ana la kuwafanyia Watanzania

3. Yeye mwenyewe analijua Bunge la kipindi hiki halina jipya

4. Kuna vituo vingi vya televisheni lakini chenye haki ya kuonyesha WC ni kimoja ambacho ni TBC1 sasa kwanini vingine visigawane majukumu?

Viva Spika
 
Swali langu ni hili........ kuna ugumu gani wa kuifanya TBC 2 ionekane kwenye antena za tubelight?Kwani ni lazima iwepo kwenye decoder?Kama wameamua kuongeza TBC2 basi iwe wazi kwa watu wote? na je likiisha bunge au Hiyo WC TBC2 itakufa???????????????

hilo ni swali zuri sana..........na ndio ilivyotakiwa TBC1,2 ziwe zinaoneka kwa kila mwananchi bila kulazimishwa kununua decoder za mchina
hakuna ugumu wowote kwani tbc1 si inaonekana tu,ni wajanja wachache wanaweka mazingira ya kula.....
 
Theoretical: Bunge ni muhimu kuliko World Cup, kwa hiyo Bunge lirushwe hewani
Reality: World Cup ina watazamaji wengi kuliko Bunge, kwa hiyo wengi wataangalia World Cup.

Swali la kizushi: Kwa nini Watanzania tunapenda kuongea kinafiki wakati ukweli tunauelewa na upo wazi? Kwa nini watanzania walazimishwe kuangalia Bunge la Bajeti kama hawataki?
 
Hivi ni wananchi wangapi mashabiki wa mpira?,hanjui ya kwamba vipindi vya kurekodi mara nyingi wanakuwa tayari wame edit for their interest?
 
Nafikiri hukufuatilia ile post ya mwanzo, nenda kwenye post ya kwanza hapo juu na ufuatilie ile link. Option zote unazozisema hapa zilijadiliwa kwa umakini na wachangiaji.

Kwa jinsi mambo yalivyokuwa ni kama TBC walitaka wapige dili la ving'amuzi(decoder) vyao kama si hivyo basi walikurupuka au kukurupushwa na wajasiliamali fulani kuanzisha TBC 2. Angalia timing ya hii launch....!!

Kwa taarifa za ndani kutoka kwenye uongozi wa TBC, na ambazo nilizieleza kwenye thread inayomuhusu Tido Muhando hii issue ya TBC 2 haikuwepo miezi kadhaa ya nyuma. Hata ukiziona brochures za mwanzo za StarTimes (wenye decoder) TBC2 haikuwepo kwenye list ya channel zitakazo onyeshwa na StarTimes badala yake ilikuwepo TBC1.

Ndg zangu, wakati tunakimbilia kusema oohh vipaumbele........vipaumbele tuwe tunayaangalia haya masuala kwa undani na sio kuja tu na swala jepesi la bunge na WC kipi cha muhimu!!
 
tukija kwenye mpira bbc wanaonyesha mpira on bbc1 na muda wanaoonyesha mpira huwa kuna taarifa ya habari na huwa inakuwa CANCELLED bila mjadala.

Asante mbeba box...!!!
 
Swali langu ni hili........ kuna ugumu gani wa kuifanya TBC 2 ionekane kwenye antena za tubelight?Kwani ni lazima iwepo kwenye decoder?Kama wameamua kuongeza TBC2 basi iwe wazi kwa watu wote? na je likiisha bunge au Hiyo WC TBC2 itakufa???????????????

Sasa ndo umekuja kwenye issue ya msingi, hili ndo swali ambalo wote tulijiuliza....!!
 
Tuache unafiki wengi wetu huwa twaangalia mpira badala ya bunge na speaker amelitambua ilo sioni shida apo.
Jana wakati wanapiga kura tuu wabunge zaidi ya 60 walikuwa hawapo usikute walienda cheki game.
To me haina impact sana as huwa nawatch via KBC na Msumbiji bse bunge USANII ni mwingi kuliko seriousness
Kama una ugwadu na bunge karibu Star Tv
Ila TBC vingamuzi wameuza
 
Tatizo TBC wapo kibiashara zaidi na sio kimaslahi ya TAIFA kama ambavto TV ya Taifa ilitakiwa iwe.Wameona kule kwenye WC kuna matangazo kibao na wadhamini wengi na wakati bunge ni bure.Hivyo hii ni shinikizo la wadhamini wanaowalipa japo walipanga kuonyesha mpira TBC2.
Anyway,Sishangai sana.WaTZ ni mazoba sana.tunayumbishwa na kudanganywa kupita kiasi.
 
mmemaliza yote ilobakia basi TUPATE viongozi wenye izo akili na utekelezaji wake

maana TBC1 tunailipia kodi ati!!so ni strategy zao za mukichwa jinsi ya kuwafanya watz tuwe na uwanja mkubwa wa kucheki matukio kupitia channels huru mbalimbali wanazotakiwa waziazishe sio huu UZUHSI wa ving'amuzi sijui uhuni gani!!:blabla:....kwani kuna nchi gani hawaangalii mpira ata km kuna mambo ya kitaifa????jibu channels ziko nyingi tu huru mtu unachagua niwatch kitaifa zaidi au kwa raha zangu WC
pia hatulazimishani kungalia bunge lenye usanii vile,ila kulikosoa tutakosoa mayb siku watasikiliza!

sijui biashara/wazo la muhuni gani hili!!!
 
Back
Top Bottom