Nilikuwa nafuatilia vyuo vinavyotambuliwa na PhD za heshima walizotoa. Ukiangalia vizuri zimejaa wanaharakati, wachezaji wa michezo mbali mbali na wasanii. Sasa huyu spika kupoteza muda na kujadili haya ili tu Dr waitwe wenyewe haitawezekana na haipo kisheria kama ananyo aminisha watu. Hivyo vigezo kwa PhD za heshima hazifanani mfano Kuna wasanii wangapi Tanzania wapepata hizo honorable degrees kulinganisha na nchi nyingine? Nendeni kaangalieni Havard wametoa PhD ngapi kwa wasanii na watu wa kawaida ni nyingi. Na hivi ni vyuo bora Duniani wako wakumwaga
Huyu rapper hata hamtakuwa mnamjua
The Houston rap vet was just awarded with an honorary doctorate from Leaders Esteem Christian Bible University. Houston's Fox26 reports Z-Ro received an Honorary Doctorate Degree in Humanities and was also presented with a Presidential Lifetime Achievement
Nikiweka list hapa wasanii na wacheza sinema wa juu karibu wote wana degree za heshima
www.xxlmag.com
Hizo university zote ziko juu ya university yetu ya Dar🤔
Huyu rapper hata hamtakuwa mnamjua
The Houston rap vet was just awarded with an honorary doctorate from Leaders Esteem Christian Bible University. Houston's Fox26 reports Z-Ro received an Honorary Doctorate Degree in Humanities and was also presented with a Presidential Lifetime Achievement
Nikiweka list hapa wasanii na wacheza sinema wa juu karibu wote wana degree za heshima
9 Rappers With Honorary College Degrees - XXL
Hizo university zote ziko juu ya university yetu ya Dar🤔