Spika Tulia acha mapepe kwenye PhD za heshima

Spika Tulia acha mapepe kwenye PhD za heshima

Wewe ni mnufaika wa huu upuuzi wa kununua kama unapenda sana "Pi eki Di" nenda darasani kasome. Spika amesema ya maana sana we PhD gani ambazo zinatolewa kama vile Press conference vile zinavyoitishwa.
Ni ya maana kwa wajinga na washamba tu lakini si ya kweli kuna rappers kibao, wasanii kibao wana PhD za heshima tena vyuo vikubwa sana. Nyie wajinga jinga ndiyo mnafikiri hizi PhD ni kwa wanasiasa! Mnataka PhD za heshima apewe nani hasa!.

Tanzania ni nchi ya ajabu sana eti waziri mzima unadanganya watu umepata PhD ya kusoma ukiwa waziri. Inawezekana basi ulikuwa ufanyi kazi yako ya uwaziri au umefanyiwa research na ndiyo maana degree hizi ni za vyuo vya Tanzania maana wanaogopewa. Kwa waelewa huwezi kusoma PhD na kumaliza ukiwa waziri!. Darasani tu ni miaka miwili full time masaa 6 kwa siku watuambie wameenda lini darasani masaa sita kwa miaka miwili wakiwa mawaziri, pili reseach ni wastani wa miaka 2 na wastani wa vitabu zaidi ya 90 vya kusoma watuambie wamesoma wapi vitabu 90 kwa hiyo miaka miwili na wanatakiwa wafanye presentation mbele ya jopo kwa zaidi ya mara moja. Kinachotokea ni kwenye reseach zinjafanywa lakini zinafanywa na walimu wao wa vyuo hapo Tanzania halafu jopo ya professors ambao wanachagua kusimamia nao ni watanzania tupu! hivyo wanabangaiza, wanaandikiwa na kubaki kufundishwa jinsi ya kuongea kwenye data mwishoni lakini hakuna waziri yeyote ambaye anaweza kupata PhD akiwa waziri bila kusaidiwa reseach na mtu haiwezekani na huu ndiyo ukweli. Hebu tafuta paper yeyote ambayo imeandikwa na hawa mawaziri wenye PhD fake uone! kwasababu inabidi waandikiwe na wale walimu! waelewa wote wanajua hili
 
Spika amesema ya maana sana we PhD gani ambazo zinatolewa kama vile Press conference vile zinavyoitishwa.
Hapo si amemsema Dr SSH maana naye alipata PhD kwa kualikwa tu pale mlimani kwenye graduation.
 
Ni ya maana kwa wajinga na washamba tu lakini si ya kweli kuna rappers kibao, wasanii kibao wana PhD za heshima tena vyuo vikubwa sana. Nyie wajinga jinga ndiyo mnafikiri hizi PhD ni kwa wanasiasa! Mnataka PhD za heshima apewe nani hasa!.

Tanzania ni nchi ya ajabu sana eti waziri mzima unadanganya watu umepata PhD ya kusoma ukiwa waziri. Inawezekana basi ulikuwa ufanyi kazi yako ya uwaziri au umefanyiwa research na ndiyo maana degree hizi ni za vyuo vya Tanzania maana wanaogopewa. Kwa waelewa huwezi kusoma PhD na kumaliza ukiwa waziri!. Darasani tu ni miaka miwili full time masaa 6 kwa siku watuambie wameenda lini darasani masaa sita kwa miaka miwili wakiwa mawaziri, pili reseach ni wastani wa miaka 2 na wastani wa vitabu zaidi ya 90 vya kusoma watuambie wamesoma wapi vitabu 90 kwa hiyo miaka miwili na wanatakiwa wafanye presentation mbele ya jopo kwa zaidi ya mara moja. Kinachotokea ni kwenye reseach zinjafanywa lakini zinafanywa na walimu wao wa vyuo hapo Tanzania halafu jopo ya professors ambao wanachagua kusimamia nao ni watanzania tupu! hivyo wanabangaiza, wanaandikiwa na kubaki kufundishwa jinsi ya kuongea kwenye data mwishoni lakini hakuna waziri yeyote ambaye anaweza kupata PhD akiwa waziri bila kusaidiwa reseach na mtu haiwezekani na huu ndiyo ukweli. Hebu tafuta paper yeyote ambayo imeandikwa na hawa mawaziri wenye PhD fake uone! kwasababu inabidi waandikiwe na wale walimu! waelewa wote wanajua hili
Umeiweka vizuri jinsi ya hiyo PhD aliyoipata Mwigulu Nchemba akiwa waziri wa mambo ya ndani mwaka 2018. Eti leo anaringa nayo hiyo PhD fake ya kununua na kudharau hadi PhD za heshima kama ya mama!!! Huyu jamaa wa kuvaa tai na scuff za bendera ya Tanzania wakati wote, lazima atakuwa na tatizo la grandiosety kichwani mwake.
 
I
Sio sheria ni utaratibu tu ili isilete mkanganyiko wa watu kuchangamya wakidhani umesoma kumbe ni award tu ya kutambua mchango wako.

Kwanini unajali sana hili kwani unajua hata ni reseach gani hiyo PhD imepatikana au tu ni utamaduni wa kujipa heshima. PhD ni heshima tu na ndiyo "h" honorable na inaweza kutolewa kwa njia tofauti reseach au kazi kwenye jamii. Na kazi kwenye jamii ni bora sana kuliko baadhi ya research. Kuna watu wana PhD za sheria mfano sehemu waliyofanyia uchunguzi hata hizo sheria hazipo tena wala hazitumiki lakini bado wanapewa heshima. Magufuli alifanya reseach kwenye kemikali za korosho lakini zimesaidia nini kwenye mbolea? zero... hivyo umuhimu wa hizi PhD sio mkubwa hivyo kama wanavyojaribu kuaminisha watu
 
I


Kwanini unajali sana hili kwani unajua hata ni reseach gani hiyo PhD imepatikana au tu ni utamaduni wa kujipa heshima. PhD ni heshima tu na ndiyo "h" honorable na inaweza kutolewa kwa njia tofauti reseach au kazi kwenye jamii. Na kazi kwenye jamii ni bora sana kuliko baadhi ya research. Kuna watu wana PhD za sheria mfano sehemu waliyofanyia uchunguzi hata hizo sheria hazipo tena wala hazitumiki lakini bado wanapewa heshima. Magufuli alifanya reseach kwenye kemikali za korosho lakini zimesaidia nini kwenye mbolea? zero... hivyo umuhimu wa hizi PhD sio mkubwa hivyo kama wanavyojaribu kuaminisha watu
Tunajali kwa sababu ya PhD za mchongo watu kuzitumia kwa maslahi yao. Inafika kipindi watu wanashindwa kutofautisha ipi ni award na ipi ni ya academic.
 
Acha UPUMBAVU. Kasome
Nimeshasoma lakini PhD ni kupoteza muda na pesa. Hizi ni kwa wale matapeli tu wa kisiasa ndiyo wanahitaji ili wadanganye watu wasiojua na masikini haina chochote. Wajingawajinga ukiwauliza hata hizo research ambazo hao wenye PhD wamefanya hamjui sasa mna jali nini zaidi ya kujikweza. Yaani nchi masikini tunaongelea majina !!!
 
Spika Yuko sahihi kutetea Elimu yetu kuchezewa

isipokuwa Amekuwa mnafiki kutetea baadhi na zingine kiziponda
 
Kingwendu naye kanunua PhD
kutoka chuo kikuu cha Tandale uwanja wa fisi
 
Back
Top Bottom