Spika Tulia Ackson alivyofungua Mkutano wa uwasilishaji wa maazimio ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)

Spika Tulia Ackson alivyofungua Mkutano wa uwasilishaji wa maazimio ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU)

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU), Mhe. Dkt. Tulia Ackson, tarehe 14 Februari 2025, amefungua Mkutano wa uwasilishaji wa maazimio ya Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) kuhusu taarifa za utekelezaji wa malengo ya maendeleo endelevu (SDGs) na hatua zilizopigwa na Mabunge Wanachama.

Mkutano huo unafanyika katika Ukumbi wa Trusteeship, Makao Makuu ya Umoja wa Mataifa (UN), Jijini New York, Marekani.

Mkutano huo ni sehemu ya juhudi za IPU kwa kushirikiana na UN kuhakikisha Mabunge yanatekeleza kikamilifu ajenda za maendeleo endelevu kupitia mijadala yenye tija, tathmini ya mafanikio na kushirikishana mbinu bora za utekelezaji.
Snapinst.app_479484473_18265876030261071_188968599481584636_n_1080.jpg

Snapinst.app_479484915_18265876054261071_7580428014540242024_n_1080.jpg

Snapinst.app_479492939_18265876057261071_1132172840312059841_n_1080.jpg

Pia soma ~ Shigongo katika Mkutano wa Mabunge ya Dunia, aelezea umuhimu wa Afrika kutumia maliasili
 
Back
Top Bottom