Pre GE2025 Spika Tulia Ackson: Natamani kumuona Manara bungeni. Naibu Spika akistaafu siasa nitamshauri Manara akagombee

Pre GE2025 Spika Tulia Ackson: Natamani kumuona Manara bungeni. Naibu Spika akistaafu siasa nitamshauri Manara akagombee

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mjengo unawajaza watu wa ovyo ovyo wapiga domo
Ndomana nasema nchi inatakiwa kutokee amshamshaa kama wanayopata wakongo labda akili zetu zitakaa sawa

Ova
 
Kama mgeni akija ghafla hapa nchini akasikia vitu wanavyoongea na hawa ambao ndio watunga Sera na kuhakikisha wanawatoa wananchi wao kwenye misery...; Anaweza kudhani mambo ya maana yote yameshughulikiwa (issues) na sasa tuna muda wa kutumia muda wetu kwenye non issues (blah, blah, blah)
Wanaongea upuz mtupu

Ova
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Rais wa Umoja wa Mabunge Duniani (IPU) Tulia Ackson ameeleza jinsi ambavyo amekuwa akitamani kumuona Mkurugenzi Mtendaji wa ManaraTv Hajji Manara akiwa ni miongoni mwa Wabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Unajua kule bungeni, lengo la ubunge ni uwakilishi na yeye (Manara) ama mtu anayeweza kuzungumza na kuweka hoja vizuri. Kwa kweli atakuwa mwakilishi mzuri kwa wananchi watakaomchagua"

Pia soma
> Pre GE2025 - Jimbo la Ilala mnamtaka Haji Manara awe mbunge wenu? Kuna ujumbe wenu hapa

Akili ya wanaccm wengi huwa ndio iko hivyo halafu mnategemea maendeleo ya kweli yapatikane!
 
Back
Top Bottom