Kama mgeni akija ghafla hapa nchini akasikia vitu wanavyoongea na hawa ambao ndio watunga Sera na kuhakikisha wanawatoa wananchi wao kwenye misery...; Anaweza kudhani mambo ya maana yote yameshughulikiwa (issues) na sasa tuna muda wa kutumia muda wetu kwenye non issues (blah, blah, blah)