Spika Tulia Ackson, ninakukumbusha kuwa siku inakuja aibu yako itakufunika

Spika Tulia Ackson, ninakukumbusha kuwa siku inakuja aibu yako itakufunika

Angewaacha watu wachangie kwa uhuru.
Pili ashauri kwa nia njema Mungu angemtetea
Sio watu wote wanaweza kua neutral kama marehemu mzee Samuel sita.......

Issue tungetengeneza KATIBA MPYA labda itusaidie kupunguza mamlaka ya Rais....Maana Mamlaka yake ni kama MUNGU Kwa hii KATIBA tuliyo nayo.......

Ni kinyume Zaid ya sana kwenda kinyume na mtukufu Rais wa nchi na ukabakia salama.....

Kuna clip ya mpina Ina trend kwenye mitandao ya kijamii yupo against Msimamo wa serikali wa kuharakisha ubinafsishaji wa bandari..........

Sijajua kama mpina ataweza kutoa mtazamo kinzani nawa chama tawala....
 
Sio watu wote wanaweza kua neutral kama marehemu mzee Samuel sita.......

Issue tungetengeneza KATIBA MPYA labda itusaidie kupunguza mamlaka ya Rais....Maana Mamlaka yake ni kama MUNGU Kwa hii KATIBA tuliyo nayo.......

Ni kinyume Zaid ya sana kwenda kinyume na mtukufu Rais wa nchi na ukabakia salama.....

Kuna clip ya mpina Ina trend kwenye mitandao ya kijamii yupo against Msimamo wa serikali wa kuharakisha ubinafsishaji wa bandari..........

Sijajua kama mpina ataweza kutoa mtazamo kinzani nawa chama tawala....
Upo sahihi kabisa !
 
Kazi ya Spika wa bunge la JMT ni kuongoza mijadala ya kuisimania serikali kama mhili unaojitegemea.

Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.

Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.

Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.

Hii ni aibu.
Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.

Nikukumbushe kuwa...HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.

Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.

Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.

Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni..taifa kwanza.

Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA
Mimi namshangaa Msomi nguri wa Sheria ananajisi taaluma yake kwa kuwapotosha wabunge.

Kwa uelewa wangu huo mkataba siyo kati ya Tanzania na Dubai, kwa jinsi Spika anavyotaka Wabunge waelewe. Ni mkataba kati ya DP World na Tanzania ambaye anatumia mgongo wa nchi yake kupata ridhaa ya kuendesha Bandari kwa Ibara ambazo zinaifunga Tanzania kwa masharti magumu (Ibara ya 23, 25 na 26).

Isitoshe miradi iliyotajwa kwenye Jedwali 1 itafuata masharti yaliyomo kwenye Mkataba huo ukiwekwa kisheria.
 
Sio watu wote wanaweza kua neutral kama marehemu mzee Samuel sita.......

Issue tungetengeneza KATIBA MPYA labda itusaidie kupunguza mamlaka ya Rais....Maana Mamlaka yake ni kama MUNGU Kwa hii KATIBA tuliyo nayo.......

Ni kinyume Zaid ya sana kwenda kinyume na mtukufu Rais wa nchi na ukabakia salama.....

Kuna clip ya mpina Ina trend kwenye mitandao ya kijamii yupo against Msimamo wa serikali wa kuharakisha ubinafsishaji wa bandari..........

Sijajua kama mpina ataweza kutoa mtazamo kinzani nawa chama tawala....
Anaweza kunyimwa nafasi na akipewa ataandamwa na zomea zomea au miongozo
 
Mimi namshangaa Msomi nguri wa Sheria ananajisi taaluma yake kwa kuwapotosha wabunge.

Kwa uelewa wangu huo mkataba siyo kati ya Tanzania na Dubai, kwa jinsi Spika anavyotaka Wabunge waelewe. Ni mkataba kati ya DP World na Tanzania ambaye anatumia mgongo wa nchi yake kupata ridhaa ya kuendesha Bandari kwa Ibara ambazo zinaifunga Tanzania kwa masharti magumu (Ibara ya 23, 25 na 26).

Isitoshe miradi iliyotajwa kwenye Jedwali 1 itafuatwa masharti yaliyomo kwenye Mkataba huo ukiwekwa kisheria.
Huu mkataba unatosha kumfurusha kiongozi mkuu kwenye kiti.
Bahati mbaya hatuna upinzani
 
Kazi ya Spika wa bunge la JMT ni kuongoza mijadala ya kuisimania serikali kama mhili unaojitegemea.

Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.

Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.

Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.

Hii ni aibu. Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.

Nikukumbushe kuwa HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.

Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.

Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.

Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni. Taifa kwanza.

Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA.
Hakuna cha aibu wala nini. Kikubwa Mwarabu apeww EFD recept yake tu.
 
Kazi ya Spika wa bunge la JMT ni kuongoza mijadala ya kuisimania serikali kama mhili unaojitegemea.

Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.

Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.

Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.

Hii ni aibu. Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.

Nikukumbushe kuwa HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.

Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.

Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.

Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni. Taifa kwanza.

Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA.
aibu ipi?kwa kosa gani?acha uzushi
 
Inshangaza sana. Speaker anatakiwa kuwa neutral ili kuruhusu mjadala uwe huru. Lakini huyu bibi hadharani bila aibu ameamua kuonyesha wazi kuwa anawataka wabunge wote waunge mkono azimio hili.

Hili bunge letu liko scripted, yani wanatuigizia hapa naangalia tu kupoteza muda lakini natamani sana kuizima hii TV nilale.
 
Inshangaza sana. Speaker anatakiwa kuwa neutral ili kuruhusu mjadala uwe huru. Lakini huyu bibi hadharani bila aibu ameamua kuonyesha wazi kuwa anawataka wabunge wote waunge mkono azimio hili.

Hili bunge letu liko scripted, yani wanatuigizia hapa naangalia tu kupoteza muda lakini natamani sana kuizima hii TV nilale.
Rimoti iko ikulu
 
Kazi ya Spika wa bunge la JMT ni kuongoza mijadala ya kuisimania serikali kama mhili unaojitegemea.

Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.

Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.

Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.

Hii ni aibu. Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.

Nikukumbushe kuwa HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.

Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.

Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.

Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni. Taifa kwanza.

Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA.
Ni lini wakaogopa aibu au laana? Wao wanajiamin hata wafanye nn watakua salama maan kila atae ingia atawalinda!! Huo ndio utaratib wao miaka yote. That's why wanafanya jinsi waonavyo wana maslahi!!
 
Ni lini wakaogopa aibu au laana? Wao wanajiamin hata wafanye nn watakua salama maan kila atae ingia atawalinda!! Huo ndio utaratib wao miaka yote. That's why wanafanya jinsi waonavyo wana maslahi!!
Ipo siku kinga zitafumuliwa ili washtakiwe
 
Kuna MTU kaelewa kitu hapa?
IMG-20230610-WA0027.jpg
 
Back
Top Bottom