Dr am 4 real PhD
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 11,640
- 24,066
Sio watu wote wanaweza kua neutral kama marehemu mzee Samuel sita.......Angewaacha watu wachangie kwa uhuru.
Pili ashauri kwa nia njema Mungu angemtetea
Upo sahihi kabisa !Sio watu wote wanaweza kua neutral kama marehemu mzee Samuel sita.......
Issue tungetengeneza KATIBA MPYA labda itusaidie kupunguza mamlaka ya Rais....Maana Mamlaka yake ni kama MUNGU Kwa hii KATIBA tuliyo nayo.......
Ni kinyume Zaid ya sana kwenda kinyume na mtukufu Rais wa nchi na ukabakia salama.....
Kuna clip ya mpina Ina trend kwenye mitandao ya kijamii yupo against Msimamo wa serikali wa kuharakisha ubinafsishaji wa bandari..........
Sijajua kama mpina ataweza kutoa mtazamo kinzani nawa chama tawala....
Mimi namshangaa Msomi nguri wa Sheria ananajisi taaluma yake kwa kuwapotosha wabunge.Kazi ya Spika wa bunge la JMT ni kuongoza mijadala ya kuisimania serikali kama mhili unaojitegemea.
Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.
Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.
Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.
Hii ni aibu.
Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.
Nikukumbushe kuwa...HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.
Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.
Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.
Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni..taifa kwanza.
Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA
Anaweza kunyimwa nafasi na akipewa ataandamwa na zomea zomea au miongozoSio watu wote wanaweza kua neutral kama marehemu mzee Samuel sita.......
Issue tungetengeneza KATIBA MPYA labda itusaidie kupunguza mamlaka ya Rais....Maana Mamlaka yake ni kama MUNGU Kwa hii KATIBA tuliyo nayo.......
Ni kinyume Zaid ya sana kwenda kinyume na mtukufu Rais wa nchi na ukabakia salama.....
Kuna clip ya mpina Ina trend kwenye mitandao ya kijamii yupo against Msimamo wa serikali wa kuharakisha ubinafsishaji wa bandari..........
Sijajua kama mpina ataweza kutoa mtazamo kinzani nawa chama tawala....
Hata sisi tuliokuwa hatupigi pesa hapo bandarini tutajuta ?!
Huu mkataba unatosha kumfurusha kiongozi mkuu kwenye kiti.Mimi namshangaa Msomi nguri wa Sheria ananajisi taaluma yake kwa kuwapotosha wabunge.
Kwa uelewa wangu huo mkataba siyo kati ya Tanzania na Dubai, kwa jinsi Spika anavyotaka Wabunge waelewe. Ni mkataba kati ya DP World na Tanzania ambaye anatumia mgongo wa nchi yake kupata ridhaa ya kuendesha Bandari kwa Ibara ambazo zinaifunga Tanzania kwa masharti magumu (Ibara ya 23, 25 na 26).
Isitoshe miradi iliyotajwa kwenye Jedwali 1 itafuatwa masharti yaliyomo kwenye Mkataba huo ukiwekwa kisheria.
Hakuna cha aibu wala nini. Kikubwa Mwarabu apeww EFD recept yake tu.Kazi ya Spika wa bunge la JMT ni kuongoza mijadala ya kuisimania serikali kama mhili unaojitegemea.
Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.
Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.
Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.
Hii ni aibu. Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.
Nikukumbushe kuwa HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.
Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.
Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.
Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni. Taifa kwanza.
Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA.
aibu ipi?kwa kosa gani?acha uzushiKazi ya Spika wa bunge la JMT ni kuongoza mijadala ya kuisimania serikali kama mhili unaojitegemea.
Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.
Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.
Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.
Hii ni aibu. Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.
Nikukumbushe kuwa HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.
Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.
Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.
Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni. Taifa kwanza.
Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA.
Akikujibu nistue1. Niambie ukomo wa huu mkataba..miaka mingapi?
2. Niambie watawekeza bandari ngapi
Katiba mpya ni muhimu !! Itarekebisha mapungufu mengi yaliyopo !!Lazima tujute wote
Rimoti iko ikuluInshangaza sana. Speaker anatakiwa kuwa neutral ili kuruhusu mjadala uwe huru. Lakini huyu bibi hadharani bila aibu ameamua kuonyesha wazi kuwa anawataka wabunge wote waunge mkono azimio hili.
Hili bunge letu liko scripted, yani wanatuigizia hapa naangalia tu kupoteza muda lakini natamani sana kuizima hii TV nilale.
Ni lini wakaogopa aibu au laana? Wao wanajiamin hata wafanye nn watakua salama maan kila atae ingia atawalinda!! Huo ndio utaratib wao miaka yote. That's why wanafanya jinsi waonavyo wana maslahi!!Kazi ya Spika wa bunge la JMT ni kuongoza mijadala ya kuisimania serikali kama mhili unaojitegemea.
Bunge ni uwakilishi na sauti ya wananchi dhidi ya serikali.
Inasikitisha sana wewe Spika Tulia Aksoni umegeuka sehemu ya kuitetea serikali kwa nguvu zako zote.
Umepoka nafasi ya Waziri mkuu.
Hii ni aibu. Ndugai aliyafanya haya yote tena kwa vitisha lakini sasa anasugua benchi hata hadharani hataki aonekane.
Nikukumbushe kuwa HAKI HUINUA TAIFA BALI UOVU NI AIBU YA WATU WOTE.
Leo uko hapo kumpendeza Samia na kuiacha kazi yako ya kuisimamia serikali.
Tabia na udhaifu wako umejionyesha pale baadhi ya wabunge walipoonyesha kuukosoa mkataba mchafu wa DWP hasa Mdee, umemwandama na kumtoa kwenye reli.
Tunafahamu Mdee yuko hapo kimakosa lakini linapokuja suala la maslahi ya Taifa tunaweka tofauti zetu pembeni. Taifa kwanza.
Usipojirekebisha AIBU YAKO INAKUJA.
Ipo siku kinga zitafumuliwa ili washtakiweNi lini wakaogopa aibu au laana? Wao wanajiamin hata wafanye nn watakua salama maan kila atae ingia atawalinda!! Huo ndio utaratib wao miaka yote. That's why wanafanya jinsi waonavyo wana maslahi!!
Nakubaliana naww kila lenye mwanzo lina mwisho wake!!Ipo siku kinga zitafumuliwa ili washtakiwe