mavuvuzela ya kujipendekeza kina ummy, nchemba, riz moko, gwajima , yaani futuhi tupuSpika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la.mbunge wa Chadema mh Sophia.Mwakagenda.
Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.
Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na kauli zake
Chanzo: Channel ten
Kuhusu Kauli ya Katambi, Soma > Waziri Katambi: Vijana ambao hawajapata mikopo ya Halmashauri pengine ni Wakenya
Spika atende haki, anapomkemea Katambi aliyewekwa na Serikali ya CCM, pia awakemee wabunge feki 19 waliowekwa na Serikali isivyo halali. Spika akimkemea Katambi peke yake na kuwakumbatia hawa 19 feki, hatendi haki.Spika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la.mbunge wa Chadema mh Sophia.Mwakagenda.
Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.
Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na kauli zake
Chanzo: Channel ten
Kuhusu Kauli ya Katambi, Soma > Waziri Katambi: Vijana ambao hawajapata mikopo ya Halmashauri pengine ni Wakenya
Katambi ni chotara wa Sukuma na ChaggaIla wasukuma wana natural arrogance, it is there, wtf
Huyo afukuzwe tuu na mh.RaisSpika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la.mbunge wa Chadema mh Sophia.Mwakagenda.
Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.
Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na kauli zake
Chanzo: Channel ten
Kuhusu Kauli ya Katambi, Soma > Waziri Katambi: Vijana ambao hawajapata mikopo ya Halmashauri pengine ni Wakenya
Ajiuzulu..Kuwa makini tu ama ajiuzuru ama aombe radhi
Sio wasukuma , huyo Mpina na Katambi wana matatizo binafsi.Ila wasukuma wana natural arrogance, it is there, wtf
Mpina tena?Sio wasukuma , huyo Mpina na Katambi wana matatizo binafsi.
Ujinga tu unawasumbua.
Katambi ukimsikiliza ni mjinga sana ... anarefusha manenooo na kutoa sifa kwa rais mpaka inaudhi.... huwa hajui kuchagua maneno wala hana weledi... inshort ana kile kipaji alichosema MwalimuWalikua hawamjui vizuri Katambi nadhani, now they know.
Mpina na Katambi ni maswahiba SKM GangMpina tena?
Ashibae hamjuwi mwenye Njaa huu ni usemi WA kweliWaziri katambi nimekusikia bungeni ukitaja vijana kuwa kati ya vijana 10 basi 8 wana ajira na 2 hawana ajila.
pili ukadai mikopo imetolewa zaidi ya bilioni 150 kwa vijana.
Tatu ukatupeleka kutuambia vijana wanalalamika kukosa mikopo inawezekana ni wakenya. ili ili bado tulimsikia waziri wa fedha naye kutuambia asiyetaka kukubali akahamie burundi.
Asilimia kubwa ya vijana hawana ajira na swala mikopo kwa vijana kupata ni ngumu kutokana na mazingira ya masharti ya mkopo.
Nimeshangazwa sana na hotuba yake mpaka nikajiuliza huyu katambi kawa tambi sasa.
Bavicha watakujibu
Kitambi kashalewa madaraka mapema sana.Walikua hawamjui vizuri Katambi nadhani, now they know.
Siyo desturi ya chama dola.Kuwa makini tu ama ajiuzulu ama aombe radhi