Spika Tulia amuonya Naibu Waziri Katambi kutotumia lugha zisizofaa mfano "waliokosa mikopo ni Wakenya"

Spika Tulia amuonya Naibu Waziri Katambi kutotumia lugha zisizofaa mfano "waliokosa mikopo ni Wakenya"

Spika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la.mbunge wa Chadema mh Sophia.Mwakagenda.

Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.

Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na kauli zake

Chanzo: Channel ten

Kuhusu Kauli ya Katambi, Soma > Waziri Katambi: Vijana ambao hawajapata mikopo ya Halmashauri pengine ni Wakenya
mavuvuzela ya kujipendekeza kina ummy, nchemba, riz moko, gwajima , yaani futuhi tupu
 
Spika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la.mbunge wa Chadema mh Sophia.Mwakagenda.

Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.

Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na kauli zake

Chanzo: Channel ten

Kuhusu Kauli ya Katambi, Soma > Waziri Katambi: Vijana ambao hawajapata mikopo ya Halmashauri pengine ni Wakenya
Spika atende haki, anapomkemea Katambi aliyewekwa na Serikali ya CCM, pia awakemee wabunge feki 19 waliowekwa na Serikali isivyo halali. Spika akimkemea Katambi peke yake na kuwakumbatia hawa 19 feki, hatendi haki.
 
From streetpunk to HP...
Screenshot_20220205-031549.png
 
Hajui ku address hadi anahusisha nchi jirani ? Hakuna diplomatic damage hapo ?
 
Waziri katambi nimekusikia bungeni ukitaja vijana kuwa kati ya vijana 10 basi 8 wana ajira na 2 hawana ajila.

pili ukadai mikopo imetolewa zaidi ya bilioni 150 kwa vijana.

Tatu ukatupeleka kutuambia vijana wanalalamika kukosa mikopo inawezekana ni wakenya. ili ili bado tulimsikia waziri wa fedha naye kutuambia asiyetaka kukubali akahamie burundi.

Asilimia kubwa ya vijana hawana ajira na swala mikopo kwa vijana kupata ni ngumu kutokana na mazingira ya masharti ya mkopo.

Nimeshangazwa sana na hotuba yake mpaka nikajiuliza huyu katambi kawa tambi sasa.
 
Walikua hawamjui vizuri Katambi nadhani, now they know.
Katambi ukimsikiliza ni mjinga sana ... anarefusha manenooo na kutoa sifa kwa rais mpaka inaudhi.... huwa hajui kuchagua maneno wala hana weledi... inshort ana kile kipaji alichosema Mwalimu
 
Aisee awamu hii tunatukanwa tu.

Kaanza Makamba,

Kafuatia Nape.

Mwigulu nae.

Katambi kaona haitoshi karusha yake.

Rais naye kasema anatusuta na miradi yake.
 
Waziri katambi nimekusikia bungeni ukitaja vijana kuwa kati ya vijana 10 basi 8 wana ajira na 2 hawana ajila.

pili ukadai mikopo imetolewa zaidi ya bilioni 150 kwa vijana.

Tatu ukatupeleka kutuambia vijana wanalalamika kukosa mikopo inawezekana ni wakenya. ili ili bado tulimsikia waziri wa fedha naye kutuambia asiyetaka kukubali akahamie burundi.

Asilimia kubwa ya vijana hawana ajira na swala mikopo kwa vijana kupata ni ngumu kutokana na mazingira ya masharti ya mkopo.

Nimeshangazwa sana na hotuba yake mpaka nikajiuliza huyu katambi kawa tambi sasa.
Ashibae hamjuwi mwenye Njaa huu ni usemi WA kweli
 
Muende kwa wakati labda lengo la Mh Naibu Waziri lilikuwa ni zuri la kuwasuta wapotoshaji.
 
Back
Top Bottom