Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
CCM wakishiba lazima wawe na dharauSpika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la Mbunge wa Chadema Mh Sophia Mwakagenda.
Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.
Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na kauli zake
Chanzo: Channel ten
Kuhusu Kauli ya Katambi, Soma > Waziri Katambi: Vijana ambao hawajapata mikopo ya Halmashauri pengine ni Wakenya
Maneno mabaya kama niniHiyo kapelo yake inafanania na Bavicha?View attachment 2230446
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji3][emoji3]Ameanza mazoea.Awe makini asje kutoa mlio kama honi za mabasi ya New Force!
CDM SurplusCDM product
Acha kumtukana mwenyekiti wetu mbowe kwa Kuwa eti ni mwanasiasa basi nguruwe anamzidi akili. Siyo kweli kwamba wanasiasa wote wanazidiwa akili na nguruwe.Ndio maana huwa wanasema, ukipima akili ya mwanasiasa na nguruwe, basi utagundua nguruwe ana akili kubwa kuliko mwanasiasa...
Cha ajabu nini?Ndio maana huwa wanasema, ukipima akili ya mwanasiasa na nguruwe, basi utagundua nguruwe ana akili kubwa kuliko mwanasiasa...
Atarejea kwa vitu maalumuMoja ya masalia ya Magufuli ambayo 2025 kwa namna yoyote ile hayatarejea tena Bungeni.
Ask herHiyo kapelo yake inafanania na Bavicha?View attachment 2230446
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Ana meno mengi kuliko binadamu wote.Katambi ni chotara wa Sukuma na Chagga
Moja ya masalia ya Magufuli ambayo 2025 kwa namna yoyote ile hayatarejea tena Bungeni.
Sasa kama wote hao hawafai, tuwapeleke akina SUGU, LEMA, MNYIKA nkHuyo Katambi hata sifa ya uongozi hana nashangaa anakuwaje naibu waziri ndo Mana nchi haisongi mbele kwa aina hii ya viongozi.
.Katambi
.Mwiguli
.Nape
.J.Makamba
.Kijaji
.Mavunde
.Mhagama
.Mashimba
.Gwajima
.Umy Mwalimu
Hawa viongozi hawana ubunifu wowote kiutendaji kazi yao ni kulopoka tu ili waonekane wanafanya kazi lakini kiuhalisia hawana kitu Cha kudeliver .Na ajabu Hawa ndo Mama Samia anawategemea wafanye maajabu .
Wewe mataga, tulia watu waseme yaliyo mioyoni mwao.Acha ujinga ucmtaje marehem kwa mihemko yako km ni hasira c mmeambiwa mtapewa malipo ya vyeti fake?
Spika Tulia amemtaka Naibu waziri Katambi kujibu upya swali la Mbunge wa Chadema Mh Sophia Mwakagenda.
Katambi alisema waliokosa mikopo ni Wakenya.
Tulia amesema kauli ya Katambi imezua tafrani kwa vijana nchini hivyo amemtaka Naibu waziri kuwa Makini na kauli zake
Chanzo: Channel ten
Kuhusu Kauli ya Katambi, Soma > Waziri Katambi: Vijana ambao hawajapata mikopo ya Halmashauri pengine ni Wakenya