Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Bettina kahongwaWabunge wa Kamati mbalimbali wako ziarani kukagua miradi.
Kampuni ya Shabiby (inayomilikiwa na Mbunge Shabiby) ikalikodisha Bunge mabasi makubwa 10 kwa ajili ya kuwatembeza Wabunge kwa siku 10.
Ni katika mikoa ya Iringa, Njombe na kadhalika.
Kila siku (bila ya kujali basi husika limetembea au la) kila basi linalipiwa shilingi milioni 3. Kwa siku 10 na kwa mabasi 10, ni jumla ya shilingi milioni 300.
Milioni 300 kwa siku 10 kweli? Mbunge Shabiby alipataje 'tender' hiyo ikiwa ana mgongano wa kimaslahi? Huu si ufisadi kweli?
Katiba mpya si takwa la Rais wala Kikosi Kazi....wananchi wanataka Katiba Mpya!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
huyo mleta mada si unajua kuwa ni ccm damu damu.?
umeshajiuliza kwanini adui yako anajiunga na wewe?
Kwani nyie Wamalawi mliomba kipindi gani?Hiyo katiba mpya ingefaa mngeiomba kipindi kile cha Magufuli
Kipindi hicho inaonekana hukuwepo kabisaHiyo katiba mpya ingefaa mngeiomba kipindi kile cha Magufuli
Tulia hapo ana zake 5 milioniWabunge wa Kamati mbalimbali wako ziarani kukagua miradi.
Kampuni ya Shabiby (inayomilikiwa na Mbunge Shabiby) ikalikodisha Bunge mabasi makubwa 10 kwa ajili ya kuwatembeza Wabunge kwa siku 10.
Ni katika mikoa ya Iringa, Njombe na kadhalika.
Kila siku (bila ya kujali basi husika limetembea au la) kila basi linalipiwa shilingi milioni 3. Kwa siku 10 na kwa mabasi 10, ni jumla ya shilingi milioni 300.
Milioni 300 kwa siku 10 kweli? Mbunge Shabiby alipataje 'tender' hiyo ikiwa ana mgongano wa kimaslahi? Huu si ufisadi kweli?
Katiba mpya si takwa la Rais wala Kikosi Kazi....wananchi wanataka Katiba Mpya!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Kipindi hicho inaonekana hukuwepo kabisa
Kwani nyie Wamalawi mliomba kipindi gani?
Ww wala hujui aina yake ya uandishi. Siku zote amekuwa akisimamia haki na sio uccm.
Ndg hapa simtetei mfanyabiashara, ila ebu tuliweke upande wako, gari linafanya kazi na ni gari la biashara ambapo kila siku kama ni zima likiwa halina ubovu linaingiza fedha, Swali ni Je!
Ni sawa siku ambayo wabunge hawana ratiba gari lisiingize fedha kisa limekodiwa na wabunge huku likiwa limeondolewa kwenye mfumo wa kuingiza fedha?
Kuna watu wanaimba katiba mpya lakini hata hawana uelewa nayo.Ndio raha ya uwazi na ukweli. Isijekuwa una biashara ya mabasi umekosa yenda sasa unajifanya kuhoji.
Katiba mpya inahusikaje na hili?
Mimi nilijaribu kumuuliza tu mkuuHuyo mleta mada ndo hakuwepo.
Weka andiko lake la kipindi Cha magufuli huyu mleta mada akiomba katiba mpya
Wabunge wa Kamati mbalimbali wako ziarani kukagua miradi.
Kampuni ya Shabiby (inayomilikiwa na Mbunge Shabiby) ikalikodisha Bunge mabasi makubwa 10 kwa ajili ya kuwatembeza Wabunge kwa siku 10.
Ni katika mikoa ya Iringa, Njombe na kadhalika.
Kila siku (bila ya kujali basi husika limetembea au la) kila basi linalipiwa shilingi milioni 3. Kwa siku 10 na kwa mabasi 10, ni jumla ya shilingi milioni 300.
Milioni 300 kwa siku 10 kweli? Mbunge Shabiby alipataje 'tender' hiyo ikiwa ana mgongano wa kimaslahi? Huu si ufisadi kweli?
Katiba mpya si takwa la Rais wala Kikosi Kazi....wananchi wanataka Katiba Mpya!
Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Unatumia nini kufikiri??Na wewe nunua mabasi ya mchina upewe tenda!
Watu wako bungeni kibinafsi zaidi.
Hahahahaha Hapana sema hutakiwi Kushangaa Sana Maana Wameshakuwekea Mziki Wao wanaocheza sasa Wao wanacheza AMIPIANO wewe unataka Zilipendwa. [emoji23] na Wewe Cheza AMAPIANO utakayempata Kucheza Naye hakikisha Umemshika Kiuno Unakiendesha Kweli kweli
Nadhani hiyo ni pesa kidogo sn yangekuwa ya serikali service tu ya gari moja kabla ya safari sijui na vipuri milioni 20 kila moja bado mafuta na dereva na ufisadi, bora serikali iwe inakodi magari isipokuwa gari ya Rais, Makamu wake, PM, Jaji Mkuu na SpikaNdg hapa simtetei mfanyabiashara, ila ebu tuliweke upande wako, gari linafanya kazi na ni gari la biashara ambapo kila siku kama ni zima likiwa halina ubovu linaingiza fedha, Swali ni Je!
Ni sawa siku ambayo wabunge hawana ratiba gari lisiingize fedha kisa limekodiwa na wabunge huku likiwa limeondolewa kwenye mfumo wa kuingiza fedha?