Spika Tulia, huu si ufisadi kweli Bunge kukodi mabasi ya Shabiby?

Spika Tulia, huu si ufisadi kweli Bunge kukodi mabasi ya Shabiby?

Mimi nadhani hiyo ndio best and cheapest option, kuliko nyingine zote.
 
Wabunge wa Kamati mbalimbali wako ziarani kukagua miradi.

Kampuni ya Shabiby (inayomilikiwa na Mbunge Shabiby) ikalikodisha Bunge mabasi makubwa 10 kwa ajili ya kuwatembeza Wabunge kwa siku 10.

Ni katika mikoa ya Iringa, Njombe na kadhalika.

Kila siku (bila ya kujali basi husika limetembea au la) kila basi linalipiwa shilingi milioni 3. Kwa siku 10 na kwa mabasi 10, ni jumla ya shilingi milioni 300.

Milioni 300 kwa siku 10 kweli? Mbunge Shabiby alipataje 'tender' hiyo ikiwa ana mgongano wa kimaslahi? Huu si ufisadi kweli?

Katiba mpya si takwa la Rais wala Kikosi Kazi....wananchi wanataka Katiba Mpya!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Hata kuwalipa POSHO na MISHAHARA Akina MDEE na GENGE LAKE ni UFISADI kwani Sio Wabunge HALALI hawana CHAMA
 
Tuwe tunapiga hesabu kdg kabla ya kulaumu vtu kama hv,sioni pesa nyingi kwenye hyo kazi,labda kama ni kosa kukodishwa mabasi ya mbunge....ukijua basi moja linatakiwa kulaza sh ngapi kwa siku njoo ulaumu tena.
 
Huyo Shabiby atakuja kuwafaa wakati wa kampeni za uchaguzi atawapa hayo mabasi yake mfanyie kampeni na mtanyamaza kimya, kwa kisingizio mtakuja kumuangalia mbele ya safari, hapo ni CCM wanamlipa fadhila.

Ufisadi CCM ni nyumbani kwake.

Naomba kuuliza. Mfano CHadema wangefanya tofauti ehhhh. Acha kutaja vyama Katika utamaduni wa Mtanzania.
 
Wabunge wa Kamati mbalimbali wako ziarani kukagua miradi.

Kampuni ya Shabiby (inayomilikiwa na Mbunge Shabiby) ikalikodisha Bunge mabasi makubwa 10 kwa ajili ya kuwatembeza Wabunge kwa siku 10.

Ni katika mikoa ya Iringa, Njombe na kadhalika.

Kila siku (bila ya kujali basi husika limetembea au la) kila basi linalipiwa shilingi milioni 3. Kwa siku 10 na kwa mabasi 10, ni jumla ya shilingi milioni 300.

Milioni 300 kwa siku 10 kweli? Mbunge Shabiby alipataje 'tender' hiyo ikiwa ana mgongano wa kimaslahi? Huu si ufisadi kweli?

Katiba mpya si takwa la Rais wala Kikosi Kazi....wananchi wanataka Katiba Mpya!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

Spika Tulia, Bunge kukodi mabasi ya Shabiby ifike mahali Bunge liwe na mabasi yake maalum ya kuwabena wabunge kwenda kutembelea miradi.​

Hali hii ya kukodisha mabasi ni ufundi wa Mchana peupeeee​

 
Wabunge wa Kamati mbalimbali wako ziarani kukagua miradi.

Kampuni ya Shabiby (inayomilikiwa na Mbunge Shabiby) ikalikodisha Bunge mabasi makubwa 10 kwa ajili ya kuwatembeza Wabunge kwa siku 10.

Ni katika mikoa ya Iringa, Njombe na kadhalika.

Kila siku (bila ya kujali basi husika limetembea au la) kila basi linalipiwa shilingi milioni 3. Kwa siku 10 na kwa mabasi 10, ni jumla ya shilingi milioni 300.

Milioni 300 kwa siku 10 kweli? Mbunge Shabiby alipataje 'tender' hiyo ikiwa ana mgongano wa kimaslahi? Huu si ufisadi kweli?

Katiba mpya si takwa la Rais wala Kikosi Kazi....wananchi wanataka Katiba Mpya!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam

D71B2B58-DDCC-4404-8A5A-44B597598129.jpeg
 
Ukiwa na utapiamlo wa akili ukaona neno 'speaker' linavyotajwa kila wakati hapa JF na mambumbumbu unaweza kufikiri kuwa Tanzania ni kweli ina speaker wa Bunge.
 
Sasa mtu akiwa anakula kutokana na urefu wa kamba yake kama Bimkubwa alivoagiza, hilo nalo ni jambo la kukasirika?
 
Wabunge wa Kamati mbalimbali wako ziarani kukagua miradi.

Kampuni ya Shabiby (inayomilikiwa na Mbunge Shabiby) ikalikodisha Bunge mabasi makubwa 10 kwa ajili ya kuwatembeza Wabunge kwa siku 10.

Ni katika mikoa ya Iringa, Njombe na kadhalika.

Kila siku (bila ya kujali basi husika limetembea au la) kila basi linalipiwa shilingi milioni 3. Kwa siku 10 na kwa mabasi 10, ni jumla ya shilingi milioni 300.

Milioni 300 kwa siku 10 kweli? Mbunge Shabiby alipataje 'tender' hiyo ikiwa ana mgongano wa kimaslahi? Huu si ufisadi kweli?

Katiba mpya si takwa la Rais wala Kikosi Kazi....wananchi wanataka Katiba Mpya!

Mzee Tupatupa wa Lumumba, Dar es Salaam
Mzee VUTA-NKUVUTE hicho kiwango je ni pamoja na kuwekewa mafuta au kiwango hicho mafuta anaweka mwenyewe shabiby?

Hizi biashara zipo tofauti sana usije kuona kama pesa ni nyingi hiyo ukilanganisha na kama kila mmoja angetumia v8 lake ama sivyo zile coaster za taasisi mbali mbali zingekusanywa ili ziwabebe hao wanakamati.
 
Ndg hapa simtetei mfanyabiashara, ila ebu tuliweke upande wako, gari linafanya kazi na ni gari la biashara ambapo kila siku kama ni zima likiwa halina ubovu linaingiza fedha, Swali ni Je!

Ni sawa siku ambayo wabunge hawana ratiba gari lisiingize fedha kisa limekodiwa na wabunge huku likiwa limeondolewa kwenye mfumo wa kuingiza fedha?
Kwa watu tunaodeal na hizi biashara hili ni lazima ulizingatie ukitoa gari kwenye ruti yako hakikisha unapata kile unachopata siku zote na si vinginevyo.
 
Back
Top Bottom